Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Pamoja na kutuchora kule bado hujadondokewa hata na mmoja!! nitakupeleka bermuda triangle ukaoge .Ko ko koooooo i wish namm nyota iniangukie[emoji8][emoji8]
wadada wa MMU ... Mniangushie nyota basi mweee
Umemuita nani?Vladimirovich Putin njooo huku !!
sisi zikikutwa zinachomwa haraka.Aaaaa acha tu juzi nlikuwa napanga kabati langu la vitabu nikakuta kadi za aina hiyo nlicheka sana na kuna zile karatasi zilikuwa maalumu za kuandikia barua katikati zina kopa
Drama zimeanza tena
Mkiwafata pm hua wanasoma nyuzi zenu kwanza,Kuna mmoja n ilimpata hapa.. kabla ya kuonana akaona asome koment na nyuzi zangu kwanza. Aisee alinihukumu kwa mambo ambayo sio kabisa na kuniona mtu wa ajabu sana. Nilijalibu kumwambia hii ni jf ni sehem yenye mambo mengi lakini hakunielewa. Naomba Mungu asome hii ya kwako labda ataelewa kiasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi majobless tuna enjoy mwanawane!
Haaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwani humfahamu[emoji12]
Yani ipo siku mtapendana hadi na mbuzi,yani kale katoto kalichochakaa vile nako kanapata mtu hadi wakumuanzishia uzi??
wonders hazitoisha dunia hii
Badooo Culture yaan bado kabisa hata harufu tuu ya salam sijapata [emoji23][emoji23]Pamoja na kutuchora kule bado hujadondokewa hata na mmoja!! nitakupeleka bermuda triangle ukaoge .
[emoji38][emoji38]
Kama ni hivyo basi walioko jukwaa la wakubwa hawawezi pata wenzaMkiwafata pm hua wanasoma nyuzi zenu kwanza,
kile ulichoandika ndicho kinachokutafsiri ulivyo kwa hiyo muwe makini na maandishi yenu.
Sometimes your past may harm your future.
Ngoja nimshtue braza Mshana ikiwezekana leo saa nane usiku tukupeleke maana duuh!Badooo Culture yaan bado kabisa hata harufu tuu ya salam sijapata [emoji23][emoji23]
Hamna namna nipeleke nirudi naupako wa kijini ,nikikoment tuuu mnajazana PM kwangu
Ndio maana lile jukwaa ni private.Kama ni hivyo basi walioko jukwaa la wakubwa hawawezi pata wenza
Habari ndo hiyoMkiwafata pm hua wanasoma nyuzi zenu kwanza,
kile ulichoandika ndicho kinachokutafsiri ulivyo kwa hiyo muwe makini na maandishi yenu.
Sometimes your past may harm your future.
NAIOMBA HII kaka!If you love someone more than they deserve, you always end up with pain more than you deserve..πππ
AsanteHongera sana kwa kupata kitu roho yako inapenda.
Asante sana mkuuHongera sana kwa kupata kitu roho yako inapenda.
Hahaha naona umekazia mrembo,Habari ndo hiyo
Naona unefurahi sanaHabari ndo hiyo