Mrejesho wa HIV: kuhusu majibu tata ya kipimo cha HIV ,SD BOOLINE

Mrejesho wa HIV: kuhusu majibu tata ya kipimo cha HIV ,SD BOOLINE

Wakuu wangu hamjambo...

Previously nilileta mada hapa ,kuhusu majibu tata ya kipimo cha HIV ,SD BOOLINE.

NIMEFUATA USHAURI WENU BAADHI KAMA:-

1.kupima kwa kipimo kingine kama determine n.k

2. Kwenda kwa wataalamu kunafuata.
Najua kule presha inakuaga kubwa,

Na hivi wakipima wanaka dump kwe bin, hijui what next,

So kupima mwenyewe unafuatilia step by step (ukiwa umeshajiandaa kisaikolojia lakini.

KIPIMO CHA SASA NIMESOMA NA KUFUATA HATUA ZOTE.

1c336af5844882dc19bb8e4b03dc15b6.jpg


ec278d23329ea9983a5563dde0411a13.jpg


Kwa sasa natulia na sitaki tena kuji expose kijinga jinga.

Nimelala na PO+ tofauti tofauti kwa vipindi tofauti tofauti vya miaka 6, mara ya mwisho ni 9/9/2017,

Nilisex na Mchepuko wangu ambao ni Positive kwa kumpima mwenyewe mara mbili, nilishasex nae pia miezi ya 7/7/2016 jambo lililonikimbiza BUGANDO KUTAFUTA PCR/PRC nilipotibua akiwa hedhi bahati mbaya.

Pia mapema September 2017 (kama nilivyoeleza kwenye thread iliyopita, nilisex na mwanamke ambae baadae niliambiwa nimuathirika kwa miaka5 sasa.

Mwaka 2011 nilijiexpozi na ve+ huko jirani na Tanga.

2013 nilijiexpose na ve+ huko Hai Bomang'ombe.

2014 na Huko Same K njaro na Nyanda za Juu(Mufindi)

2015 Singida na Dar.

2016 Tabora na Shinyanga.

2017 TABORA NA MWANZA.

Ninahaja ya kupima.
Sijawahi kutumia condom toka kukja sex.
NABADILIKA.

STRESS SIO NZURI HATA KIDOGO.

NATARAJIA KUPIMA TENA FEB/14/2018.
Sijajua labda vipo domant.

GOD FORBID.
Du mkuu una nyota ya Miwaya maana kila ukigusa Demu ni +ve na pia inawezekana una mashine kama kidole cha mwisho maana haupati mchubuko.
 
Hivyo vipimo vya determine ulivyotumia havinaga rongorongo.
Hapo upo fit mkuu, hakuna cha domant wala nini. Hongera.
Unyanyapaa wetu unatusababishia dhana potofu sana.
"Kuchuna ngozi" bila kinga siyo lazima uukwae, inategemeana na kisu unachotumia kuchunia kama kimenolewa sawasawa ama kibutu.
Mambo ya kudhani niliishayaacha baada ya jamaa yangu kufanya vituko nilivyotegemea kuwa vingemuua.
Siku moja alimchukua mwanamke muathirika kwa makusudi kwenda kufanya naye ngono bila kinga!
Nikamuuliza sababu ya kufanya hivyo?
Jibu likawa 'nilitaka kuona za ukimwi zipoje'.
Jibu hilo liliniacha katika simanzi ya mawazo yaliyojaa huruma na unyanyapaa. Lakini cha ajabu, ameishi miaka mingi baada ya kituko hicho, lakini hadi leo anapima ni negative!
Kuchukua tahadhari ni muhimu sana bw mdogo kuliko kufakamia kavukavu kama unavyofanya wewe, ingawa ngozi ni tamu, hasa ikiiva vizuri.
Asikwambie mtu.
 
Hivyo vipimo vya determine ulivyotumia havinaga rongorongo.
Hapo upo fit mkuu, hakuna cha domant wala nini. Hongera.
Unyanyapaa wetu unatusababishia dhana potofu sana.
"Kuchuna ngozi" bila kinga siyo lazima uukwae, inategemeana na kisu unachotumia kuchunia kama kimenolewa sawasawa ama kibutu.
Mambo ya kudhani niliishayaacha baada ya jamaa yangu kufanya vituko nilivyotegemea kuwa vingemuua.
Siku moja alimchukua mwanamke muathirika kwa makusudi kwenda kufanya naye ngono bila kinga!
Nikamuuliza sababu ya kufanya hivyo?
Jibu likawa 'nilitaka kuona za ukimwi zipoje'.
Jibu hilo liliniacha katika simanzi ya mawazo yaliyojaa huruma na unyanyapaa. Lakini cha ajabu, ameishi miaka mingi baada ya kituko hicho, lakini hadi leo anapima ni negative!
Kuchukua tahadhari ni muhimu sana bw mdogo kuliko kufakamia kavukavu kama unavyofanya wewe, ingawa ngozi ni tamu, hasa ikiiva vizuri.
Asikwambie mtu.
Asante mkuu,
Ninkweli ishu ya kusema vitaonekana even after 10 20 yrs nimeogopa tena!,

Mwaka jana boo zima ilitapakaa damu za hedh ya +

Nlihaha, ila saiv vpimo ni hvyo. Nachukua hatua .
Goodluck,
 
Asante mkuu,
Ninkweli ishu ya kusema vitaonekana even after 10 20 yrs nimeogopa tena!,

Mwaka jana boo zima ilitapakaa damu za hedh ya +

Nlihaha, ila saiv vpimo ni hvyo. Nachukua hatua .
Goodluck,
Mkuu upo fit. Ungekuwa umeukwaa hiyo mistari ingechora red vyote kwa kuanzia sehemu ya danger. Lakini sijui ukaekae hadi kipindi gani sijui,ni siasa. Kifupi u mzima wa afya leo na kesho, ila acha kula kavu bw mdg ingawa kavu ni starehe tupu.
 
Mkuu upo fit. Ungekuwa umeukwaa hiyo mistari ingechora red vyote kwa kuanzia sehemu ya danger. Lakini sijui ukaekae hadi kipindi gani sijui,ni siasa. Kifupi u mzima wa afya leo na kesho, ila acha kula kavu bw mdg ingawa kavu ni starehe tupu.
Asante mkuu, hizo sayansi za 10 yrs zinanshangaza au hiv wapo kwe mifupa.... Cjui, ok, naanza kujikinga.
 
Mkuu ukimwi hakuna janja janja tu....Mi napiga kavu huu mwaka wa 5.

Zamani nilikuwa navaa condom nikaona huu ujinga siku hizi nakula kavu....Kikubwa akikisha demu unamuandaa vizuri tu na uwe na mafuta ya akiba pembeni
Well said mkuu.
 
Back
Top Bottom