Mrejesho wa kheri, nimempata wangu

Mrejesho wa kheri, nimempata wangu

Spirit

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
457
Reaction score
380
Habari zenu wapendwa wa MMU,

Leo nimeona nijitokeze kwenu tena ila leo ni kwa ajili ya kuwaelezea furaha yangu na kuwapa moyo wale ambao bado wanaendelea kutafuta wenza na bado hawajawapata nawaambia watawapata wakati utakapofika.

Mimi nashukuru Mungu nimeshampata wa kwangu hapa hapa MMU maisha yanaendelea sasa ahsanteni sana wanajukwaa tuendelee kushirikiana tupeane moyo na kushauriana zaidi na zaidi.

Ahsanteni
 
Y

Yani harudi tena mtu hapa mkuu sasa hivi ni kujenga tuu maisha mengine yote mungu atatutangulia hakuna kitakachoharibika
MATAPELI TU HAO.
sidhani kama JF unaweza ishi na mwenza Maisha.......
Ambae anaye wamedumu hata 5yrs njoo mtoe comments ili vijana wasiache MAADILI YETU na kujikita humu kutafuta WENZA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom