toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Propaganda za hawa jamaa zimekua nyingi sana mara ooh nilikua professor wa chuo kikuu but now nimeacha hii fursa ndo imenifanya nikaacha kazi
Mara oooh nilikua masikini leo namiliki range rover sport 6
Oooh nilikua nafanya kazi kama bank manager nimeacha nimejiunga huku natengeneza milioni 5 kwa mwezi
Mara oooh sasa hivi natengeneza pesa napelekwa nje nishatembea nchi 20
Hizo ni propaganda zao wakati wakitafuta watu wa kuwaunga[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
Maneno yamekua mengi wengi wanaojiunga naowajua wameishia pabaya
Halafu hawasemag changamoto kazi yao ni kuhubiri mafanikio ya uongo kiujumla wanafake maisha
Mimi siwezi kupoteza pesa nijiunge vitu vya hovyo hakunaga pesa rahisi hivyo kamateni wengine lakini sio mimi
Haya mkuje wa humu mliowahi kujiunga na hizi network marketing na mkafanikiwa au mkapata changamoto mkuje
Mara oooh nilikua masikini leo namiliki range rover sport 6
Oooh nilikua nafanya kazi kama bank manager nimeacha nimejiunga huku natengeneza milioni 5 kwa mwezi
Mara oooh sasa hivi natengeneza pesa napelekwa nje nishatembea nchi 20
Hizo ni propaganda zao wakati wakitafuta watu wa kuwaunga[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
Maneno yamekua mengi wengi wanaojiunga naowajua wameishia pabaya
Halafu hawasemag changamoto kazi yao ni kuhubiri mafanikio ya uongo kiujumla wanafake maisha
Mimi siwezi kupoteza pesa nijiunge vitu vya hovyo hakunaga pesa rahisi hivyo kamateni wengine lakini sio mimi
Haya mkuje wa humu mliowahi kujiunga na hizi network marketing na mkafanikiwa au mkapata changamoto mkuje