Wazee wa Good morning na jua kali la Dar ukute ni saa saba hiyo, mwisho tuseme tu kuwa hao wakikuita kuwa kuna fursa ujue wewe ndo fursa.Wanasema nabii japo hakubaliki kwao,lakini huanza na mahubiri mlangoni kwao kwanza[emoji16][emoji16][emoji16],kama Yesu na israel.
Toka lini mtu akakukumbuka wewe kwenye fulsa,kaacha nduguze hukooo.
Mkuu ukiwa na hela hatuhitaji utwambie,zenyewe huwa zinajipambanua zina kiherehere wala hazihitaji kusemewa[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hawa Kina Enos,Blandina na Veronica mbona wanasema ni matajiri wanamiliki maghorofa,RR na Jeep 0 Km? Wengine wanakwama wapi?
View attachment 1487334
View attachment 1487335
View attachment 1487336
Mkuu ukiwa na hela hatuhitaji utwambie,zenyewe huwa zinajipambanua zina kiherehere wala hazihitaji kusemewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ninachojua wenye magari sio wachoyo ukiomba upigie picha,ukienda yard na plate number ya jina lako unachagua gari gani unataka uweke upigie picha kisha mnapatana,sidhani kama itazidi elfu 30[emoji16][emoji16][emoji16].
Mimi nimeenda mlimani city nyuma ya uchumi tower,nikakuta mapicha picha ya hivii,wengine wamepiga wana raum,vits nk,nikajiuliza kama mafanikio wanayozungumza ni kumiliki harrier old model,bas kazi yangu ni ya maana sana kuliko upuuzi wanaonieleza hapa.
Ila Blandina ni gari lake.Mkuu ukiwa na hela hatuhitaji utwambie,zenyewe huwa zinajipambanua zina kiherehere wala hazihitaji kusemewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ninachojua wenye magari sio wachoyo ukiomba upigie picha,ukienda yard na plate number ya jina lako unachagua gari gani unataka uweke upigie picha kisha mnapatana,sidhani kama itazidi elfu 30[emoji16][emoji16][emoji16].
Mimi nimeenda mlimani city nyuma ya uchumi tower,nikakuta mapicha picha ya hivii,wengine wamepiga wana raum,vits nk,nikajiuliza kama mafanikio wanayozungumza ni kumiliki harrier old model,bas kazi yangu ni ya maana sana kuliko upuuzi wanaonieleza hapa.
Kama ni la kwake binafsi sawa,haiwezi kuwa hiyo biashara yao ya kuingiza watu.Ila Blandina ni gari lake.
Mara kadhaa amepita nalo mtaa ninaoishi.
Sijui kama networking market ndo imemlipa au ila ni gari lake ndo analotembelea ziku zote.
Wao wanasema ni kupitia hiyo hiyo biashara maana wengine wanaingiza hadi milioni 60 kwa mwezi kwa mujibu wao!!Kama ni la kwake binafsi sawa,haiwezi kuwa hiyo biashara yao ya kuingiza watu.
Blaza mimi nawewe mbali na kwamba wote ni watz lakini hatujuani zaidi ya hapa jf,itakuingia akilini siku moja nije nikwambie kuna fursa ya kupiga mihela kwako,nikiwa nimewaaacha ndugu zangu,jamaa zangu mtaani,wafanyakazi wenzangu,na hata watu wasiojiweza [emoji16][emoji16][emoji16] huko mitaani!!!!!!.Wao wanasema ni kupitia hiyo hiyo biashara maana wengine wanaingiza hadi milioni 60 kwa mwezi kwa mujibu wao!!
Ndio maana watu wanasema ukiambia dili na hao watu basi ujue wewe ndio fursa yao!! Nakubaliana na wewe kama kungekuwa na deal za kupiga hadi mil 60 wangewachukua dungu zao wa ukoo wao wote.Blaza mimi nawewe mbali na kwamba wote ni watz lakini hatujuani zaidi ya hapa jf,itakuingia akilini siku moja nije nikwambie kuna fursa ya kupiga mihela kwako,nikiwa nimewaaacha ndugu zangu,jamaa zangu mtaani,wafanyakazi wenzangu,na hata watu wasiojiweza [emoji16][emoji16][emoji16] huko mitaani!!!!!!.
Ni huruma au ni kweli nayajali sana maisha yako wewe kuliko niliowataja hapo juu!!!!
Sisi wengine tukaomba tukopeshwe msingi,dhamana tunaweka majina yetu katka hiyo biashara,cha ajabu maafisa hao wakaanza blah blah blah,tukaamsha zetu maskani mambo yasijekuwa mengi.