Mrejesho Wa mpenzi Moneytalk!

kwanini huulizi, muulize mwenzio yule wa kwenye escape from madagascar ambaye hata raha ya kupost mambo yake kashindwa kutokana na vigezo vya ku cc alivyopewa na QA wake.. ila nadhani atakuwa na acc mbili moja ni lazima a CC na nyingine ndo kama hizi zetu yf akitokea unabofya new tab maisha yanaendeelea...
 
Ngumu kumesa!

DJ sepetu
 
Ebu jaribuni kukua jamaan huo ni utoto sijui kila la heri
Shunie thebosslady anadai kuwa Mimi ni shunie namwambia sio mm haelewi Uzi huo upo jukwaa la complaints unaitwa"jamii forum haitendi haki"wahi

DJ sepetu
 
Shunie thebosslady anadai kuwa Mimi ni shunie namwambia sio mm haelewi Uzi huo upo jukwaa la complaints unaitwa"jamii forum haitendi haki"wahi

DJ sepetu
Mm sibishanagi na wapenda kiki nilipita niliona hata josseverest analitukanwa rudi tena huo Uzi upo kama upo niambie
 
Leo akili yangu imechoka sana

DJ sepetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…