Wewe lazima utakuwa she...Wakuu kwema.
Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.
Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.
Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.
Asanteni.
Huyu ndio anaanza, unataka umuue
Wandewa eeeeee! Huyu dogo inabidi tumuite tumkalishe kikaoKunywa vitu vikali
Yaani anafurahia kabisa kunywa lite!πππ kikao ni lazimaWandewa eeeeee! Huyu dogo inabidi tumuite tumkalishe kikao
Dogo changamshaaaaaaa! tekinologia ya pombe inaenda kasi sanaHahaha ni man mzee. Hahaha.
Naanza mdogo mdogo ngoja..
Dah dogo kazingua sana[emoji16]Yaani anafurahia kabisa kunywa lite![emoji23][emoji23][emoji23] kikao ni lazima
Hahaa naona jamaa atakua bia ya tano ...kichwa kimeshaanza kuwaka[emoji1787][emoji1787]Gari linaanza kuwaka taratibu
..,Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi. ...! MAKINIKAWakuu kwema.
Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.
Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.
Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.
Asanteni.
Weraaaaa weraaaaaWakuu kwema.
Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.
Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.
Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.
Asanteni.