Mrejesho wangu baada ya kutumia Serengeti lite

Mrejesho wangu baada ya kutumia Serengeti lite

Wakuu kwema.

Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.

Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.

Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.

Asanteni.
Umeshatanga biashara. Lipia hilo tangazo
 
Pombe za mademu hizo,Rijali huwezi kunywa Serengeti lite afadhali unywe safari,au bingwa
Watu kujitia umwamba

Wewe unafaidika na nini ukinywa konyagi kwenye uanaume wako[emoji2][emoji2]geez!!!!

Yaani namaanisha konya inaongeza nini kwenye uanaume wako au misifa[emoji1787].

Kwamba ukinywa jibapa ndio unakiwa ngangari au ngunguri.

Wakati ndio unajiongezea chance ya kufeli figo zako[emoji2][emoji1787]

Daah bongo tabu sana mnajua???

[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom