Mrejesho wangu baada ya kutumia Serengeti lite

Sijaona Savannah kwenye list yako kulikonii? [emoji23][emoji23]
 
Umeshatanga biashara. Lipia hilo tangazo
 
Pombe za mademu hizo,Rijali huwezi kunywa Serengeti lite afadhali unywe safari,au bingwa
Watu kujitia umwamba

Wewe unafaidika na nini ukinywa konyagi kwenye uanaume wako[emoji2][emoji2]geez!!!!

Yaani namaanisha konya inaongeza nini kwenye uanaume wako au misifa[emoji1787].

Kwamba ukinywa jibapa ndio unakiwa ngangari au ngunguri.

Wakati ndio unajiongezea chance ya kufeli figo zako[emoji2][emoji1787]

Daah bongo tabu sana mnajua???

[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…