Mrema: Kuna wagombea wana"VISA"mfukoni na nyumba za kuishi ughaibuni, mnaowashadadia mkiharibu amani ya nchi mtakimbilia wapi? Nanyi mna pa kwenda?

Mrema: Kuna wagombea wana"VISA"mfukoni na nyumba za kuishi ughaibuni, mnaowashadadia mkiharibu amani ya nchi mtakimbilia wapi? Nanyi mna pa kwenda?

Wakati ni ukuta.angepumzika mzee mrema. Alikua na kipindi chake kimepita sasa wengine wanaibuka.
 
JF Salaam,

Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.

Mfuatilie kwa makini


Hajasema "NCHI" Kasema "NJI"
Siku nyingine acha kumlisha maneno! Acha kabisa maana unakiuka sheria ya habari. Halafu pia habari yako haina mzania hadi tukaihoji hiyo ndege inayosubiri kuwarusha hao wanasiasa Ulaya ndipo tuitoe hii habari hewani.
 
JF Salaam,

Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.

Mfuatilie kwa makini


Huyu mzee Kansa yake ya ngozi imeanza kula na ubongo
 
Pepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
Pepo uliyewaroga Watanzania toka.
Hii kauli niliisikia 2000 nikiwa mdogo kuwa ukimchagua mpinzani akileta vita watakaohangaika ni wamama na watoto
 
Anapalilia kibarua chake bodi ya parole kisiote nyasi.
 
JF Salaam,

Mzee Mrema amewaasa wanasiasa wanaotaka kuchochea Vurugu nchini waache maramoja kwani wao ndege ziko uwanjani zinasubiri wavuruge nchi ziwarushe mpaka Ulaya.

Mfuatilie kwa makini


Hako kazee mrema kananeeka vibaya kanalinda uteuzi wake.
 
Back
Top Bottom