Jobless society, what do you expect?!Kila mgombea ana nyomi. Huwa najiuliza ni new people au wale wale
Nyomi za JPM ni fake anatumia wasanii kuvuta watu, kutumia wasanii hata Hashim Rungwe angepata nyomi!.Kila mgombea ana nyomi. Huwa najiuliza ni new people au wale wale
Wa CCM ni walewale waanazungushwa nchi nzimaKila mgombea ana nyomi. Huwa najiuliza ni new people au wale wale
Hongera MremaTLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.
View attachment 1607792
View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema
Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.
View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
Bravo. Yeye vita na Mbatia tu, nothing moreNilisema Mrema akishinda ubunge Vunjo natembea uchi sasa yeye mwenyewe kasema kura kwa kimei huyu mzee anachekesha
Mrema amejitoa?TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.
View attachment 1607792
View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema
Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.
View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.