Koffi Yardley
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 620
- 496
Ndo maana ccm na NECcm hawaeleweki. Ngoja tuone Kama Mahela, jaji Kaijage au Mutungi watatoa karipio au tamko la kulaani hiko kitendoTLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.
View attachment 1607792
View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema
Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.
View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.
View attachment 1607792
View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema
Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.
View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
Hakika Magufuli anapendwa sana hadi wapinzani kama Mrema na ubishi wake wote amevua kofia
Tena huyu naamin n wale wanasiasa ambao ataota ndoto mbaya tupu had kufaNilisema Mrema akishinda ubunge Vunjo natembea uchi sasa yeye mwenyewe kasema kura kwa kimei huyu mzee anachekesha
Hakika Magufuli anapendwa sana hadi wapinzani kama Mrema na ubishi wake wote amevua kofia