MREMBO ANAHITAJIKA

Tan1947

Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
40
Reaction score
42
Katika dunia hii iliyojaa rabsha,karaha na madhila lukuki, Mwenyezi MUNGU alituruzuku Mahaba ili yatuliwaze.

Ewe binti mrembo,uliyeumbwa ukaumbika,mkazi wa dar es salaam,ningependa Kuwa nawe!!

Nakuhitaji uwe wangu,tuyajenge na kufurahia Maisha.

Ningependa kukutana nawe kokote kule mtaani,lakini kutokana na maendeleo ya science na technology ,naomba tukutane Hapa jamii forums.

Katibu Sana PM kwangu,tuyajenge
 
Reactions: lup
Anakuja mda sio mrefu
 
Hahahaha shida kweli watu wanatongoza kipole sio kulazimishana.
 
Mungu anakupa unayefanana naye mkuu!! Subiri atakufuata!!

KUWA UYAONE!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…