Katika dunia hii iliyojaa rabsha,karaha na madhila lukuki, Mwenyezi MUNGU alituruzuku Mahaba ili yatuliwaze.
Ewe binti mrembo,uliyeumbwa ukaumbika,mkazi wa dar es salaam,ningependa Kuwa nawe!!
Nakuhitaji uwe wangu,tuyajenge na kufurahia Maisha.
Ningependa kukutana nawe kokote kule mtaani,lakini kutokana na maendeleo ya science na technology ,naomba tukutane Hapa jamii forums.
Katibu Sana PM kwangu,tuyajenge
Ewe binti mrembo,uliyeumbwa ukaumbika,mkazi wa dar es salaam,ningependa Kuwa nawe!!
Nakuhitaji uwe wangu,tuyajenge na kufurahia Maisha.
Ningependa kukutana nawe kokote kule mtaani,lakini kutokana na maendeleo ya science na technology ,naomba tukutane Hapa jamii forums.
Katibu Sana PM kwangu,tuyajenge