Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:becky::becky::becky:Ah mrembo gani hvyo! Warembo huwa hawana haya wala aibu wakotayari kufanya/kufanyawa chochote ili apate anacho hitaji,
jamani hapo hajavaa uchi sema hakukaa vizuri hiyo nguo ukiingalia vizuri imejikunjaa tu kwa ajili ya kuangaika asipigwe picha ila akisimama hiyo nguo ni ndefu kabisa.hivi kuvaa uchi unakujua weye?Alipotoka nyumbani alikuwa KAVAA VIZURI, akapitia kwa shoga yake akabadili nguo, asionekane MSHAMBA. Kumbe kaja kuumbuliwa ukumbini, mapaja nje nje. Anaficha uso wake nyumbani wasijue. Lakini MIGUU yake ni alama tosha. AMEUMBUKA!
Hivi ndivyo wafanyavyo madada wetu siku hizi, wakidhani wanakwenda na wakati au wataonekana washamba. Heshima kitu cha bure. Dada, jiheshimu. Usipojiheshimu unajidhalilisha mwenyewe, familia, ndugu na jamaa zako.
Natoa ujumbe tu. Mjumbe hauwawi.
Kumbe aibu unayo? Sasa kilichokutuma uvae nusu uchi ni nini?
Mwe!
Kiswahili chako hakielewki mazeejamani hapo hajavaa uchi sema hakukaa vizuri hiyo nguo ukiingalia vizuri imejikunjaa tu kwa ajili ya kuangaika asipigwe picha ila akisimama hiyo nguo ni ndefu kabisa.hivi kuvaa uchi unakujua weye?
Alipotoka nyumbani alikuwa KAVAA VIZURI, akapitia kwa shoga yake akabadili nguo, asionekane MSHAMBA. Kumbe kaja kuumbuliwa ukumbini, mapaja nje nje. Anaficha uso wake nyumbani wasijue. Lakini MIGUU yake ni alama tosha. AMEUMBUKA!
Hivi ndivyo wafanyavyo madada wetu siku hizi, wakidhani wanakwenda na wakati au wataonekana washamba. Heshima kitu cha bure. Dada, jiheshimu. Usipojiheshimu unajidhalilisha mwenyewe, familia, ndugu na jamaa zako.
Natoa ujumbe tu. Mjumbe hauwawi.
Kumbe aibu unayo? Sasa kilichokutuma uvae nusu uchi ni nini?
Mwe!
mrembo maana yake nini?1.kuvaa nusu uchi2.kujichubua...
kweli huku jf kuna vituko, labda kwa sababu ya hereni, :becky::becky::becky::becky:Kinyaiya nae mrembo au naona vibaya jamani?au mtoa maada ulimaanisha nini?
Kinyaiya nae mrembo au naona vibaya jamani?au mtoa maada ulimaanisha nini?
uyu mshikaji huwa simtofautishi na maymartha...yaani huyo Ben kinyaiya,,,anaonekana kama anajichubua, halafu kama ana mambo ya ajabu fulani hivi..na vile vipini vyake kujifanya mzungu ndo kabisa watu wengine wanamuelewa kama ni...vile...hivi hamnaga mtu wa kumshauri...kuna mtu hapo kweli jamani...Mnenguaji wa FM academia na Ben Kinyaiya....
![]()
![]()
Kuna dem mmoja hivi alinambia kuwa jamaa ANASUKUMWA TOPE.uyu mshikaji huwa simtofautishi na maymartha...yaani huyo Ben kinyaiya,,,anaonekana kama anajichubua, halafu kama ana mambo ya ajabu fulani hivi..na vile vipini vyake kujifanya mzungu ndo kabisa watu wengine wanamuelewa kama ni...vile...hivi hamnaga mtu wa kumshauri...kuna mtu hapo kweli jamani...
Duh mkuu una ushahidi wa hii kashfa yako?Kuna dem mmoja hivi alinambia kuwa jamaa ANASUKUMWA TOPE.
sijajua undani wake labda kama kuna mtu anafahamu chochote kuhusu huyu just atumwagie hapa
Kiswahili chako hakielewki mazee