Mrembo anawakaribisha Amarula

Mrembo anawakaribisha Amarula

attachment.php


Pamoja na Amarula, lakini kanaonekana kiuno anaweza kukizungusha
 
MariaRoza, nisaidie tofauti ya Amarula na wine


Kwa test au kirangi??
kama ni rangi bas wine ni hicho kinywaji alichoshika huyo mdada na amarula ipo kama chai ya maziwa hivi ila nzito!

kwa test niwaachie watumiaji!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Khaaaa!!!!!....This is nasty!...Kisha muangalie huyo njemba na jikamera lake?..Mijitu mengine banaa????...:mmph:

attachment.php
 
Kimwana akipata wa kumtuliza ndani kama mfunyukuzi safi sana kuujaza ulimwengu!!
 
Kwa test au kirangi??
kama ni rangi bas wine ni hicho kinywaji alichoshika huyo mdada na amarula ipo kama chai ya maziwa hivi ila nzito!

kwa test niwaachie watumiaji!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Asante sana
 
mwenzenu sijaelewa, what is so special kwa hawa mashosti? Mungu anisamehe mavazi mengine acha tuendeleekuwa washamba.
 
hapo hamna ki2 hawa ni wale wanaotafuta kuchakachuliwa kinguvu
 
Back
Top Bottom