Tatizo hawezi suluhu.
Wamemchokoza wenyewe alinyamaza wakamwona mjinga siye wengine tutabaki watamazaji
ktk hii dunia hakuna kitu kizuri km faraja mi nawaambia
mange mkisoma yule faraja yake ni kina koku na marichui ndo maana anajitahdi kufanya yote awafurahishe wale by hook by crook
ukute alivyotegemea sivyo alivyokuta kwa mme
ana stress yule dada kwanza kapoteza marafiki wengi wazuri tena bonge la company amebaki killy janga na huyo killy kwa sasa sio kivile
upande wa mama ake haelewani nao mama ake hamzungumzii ht km alimkosea kias gani ye angemshukuru kwa kumzaa tu inatosha
yule dada mi mwenzenu naweza sema mbuata nanga na yeye bora mbuta tunamjua ni chizi mwenye vyeti kuliko yule maana
tujiulize ana familia,mme wa ndoto yake,watoto na elimu
kwa nini yuko vile sasa?
je asingekua na hvyo vtu?si angekua mchawi?au jambazi
yule ni wa kumsamehe bure tu maana ile si hali ya kawaida kwa binadamu
kutukanana ndo faraja yake na haezi ishi bila kuchukia watu au kutafuta wagomvi wa kukwazana nao
hatukatai binadamu tuna mapungufu ila ukiona mtu anakwaruzana na kila mtu na hasa mama mzazi huyo sio wa kawaida
am sory mashabiki wake ila kwa upeo wangu mi hayo ndo nimeyaona
namuonea sana huruma yule dada maana kuna siku atahtaji msaada wale anaowatukana ndo watamsaidia na wale mashabiki maandazi wanaompaka mafuta kwa mgongo wa chupa hawatokuepo
geniveros umeongea jambo la maana sana,wengi wanaweza wasione kama wewe,yawezekana hata yeye haoni tatizo!Sikatai kuwa anaweza akawa kachokozwa,lakini why her all the time?Mange ana matatizo katika swala la mahusiano,ana aina fulani ya wazimu,anajiamini kupita kiasi,ana kiburi,shari na inda!Hapendi suluhu wala kujishusha!Pia ana stress sio siri ndio mAana ameandika gazeti refu kaongea mambo mengi mainly kapoint shortcomings za wenzie which makes her feel better,ni wa kuhurumiwa because tatizo lake linahitaji councillor wa kitabibu kabisaaa...
Umeongea point
ktk hii dunia hakuna kitu kizuri km faraja mi nawaambia
mange mkisoma yule faraja yake ni kina koku na marichui ndo maana anajitahdi kufanya yote awafurahishe wale by hook by crook
ukute alivyotegemea sivyo alivyokuta kwa mme
ana stress yule dada kwanza kapoteza marafiki wengi wazuri tena bonge la company amebaki killy janga na huyo killy kwa sasa sio kivile
upande wa mama ake haelewani nao mama ake hamzungumzii ht km alimkosea kias gani ye angemshukuru kwa kumzaa tu inatosha
yule dada mi mwenzenu naweza sema mbuata nanga na yeye bora mbuta tunamjua ni chizi mwenye vyeti kuliko yule maana
tujiulize ana familia,mme wa ndoto yake,watoto na elimu
kwa nini yuko vile sasa?
je asingekua na hvyo vtu?si angekua mchawi?au jambazi
yule ni wa kumsamehe bure tu maana ile si hali ya kawaida kwa binadamu
kutukanana ndo faraja yake na haezi ishi bila kuchukia watu au kutafuta wagomvi wa kukwazana nao
hatukatai binadamu tuna mapungufu ila ukiona mtu anakwaruzana na kila mtu na hasa mama mzazi huyo sio wa kawaida
am sory mashabiki wake ila kwa upeo wangu mi hayo ndo nimeyaona
namuonea sana huruma yule dada maana kuna siku atahtaji msaada wale anaowatukana ndo watamsaidia na wale mashabiki maandazi wanaompaka mafuta kwa mgongo wa chupa hawatokuepo
Mkuu umeongea vizuri sana,Mange this should be your waking up call-watu wamechoshwa na unyanyasaji wako,soon yatakurudia haya,usipojirekebisha soon,and very soon....yatakurudia...mimi mwenyewe ni mgomvi ila wewe umezidi khaaa
Mkuu umeongea vizuri sana,Mange this should be your waking up call-watu wamechoshwa na unyanyasaji wako,soon yatakurudia haya,usipojirekebisha soon,and very soon....yatakurudia...mimi mwenyewe ni mgomvi ila wewe umezidi khaaa
siku hizi umeadimika
Uwiiiiii,hizi habari sina jamani.Ngoja nikatafute,nina muda sana sijaenda huko.Ila sijui nitaanzia wapi hadi nivione hivo vichambo vyangu.
That's it!Sie wanawake kwa kawaida ni wagomvi,hata mie mtata,ila simfikii Mange hata asilimia zero!Yeye ni mtu ambaye hawezi kutorolate sababu yeyote kuvunja urafiki na kuzusha ugomvi!Afu anakimbilia kwenye blog yake,ameitumia kama silaha ya kuwaumiza wabaya wake,ndio ni yake,ana haju ya kuandika lolote ila its too much!yani kila mtakayekwazana naye umuweke kwenye blog yako?angejua wale fans wana enjoy tu
Nipo mpenzi majukumu tu
Ni kwa kuwa last time Mange alisema hakuna anayemuweza kwenye yale mambo,kipindi kile cha Mbuta alipomwita Koku baboon.Looking at their Lives and history Mange ni super convict wa ugomvi!
Wamemchokoza kabisa mi hua sikapendi ka mange ila this time namtetea wamemuanza kabisaa,kamchamba hadi kaka yake Linda yule Richard hhhhhaaaaa
Halaf palioneshwa kwa mange vulu vulu yaan hovyoo hapajapangiliwa nguo kila sehemu sio kasafi muda mwingi kanaandika magazeti hhhhhhhhhaaaaaaaaa
That's it!Sie wanawake kwa kawaida ni wagomvi,hata mie mtata,ila simfikii Mange hata asilimia zero!Yeye ni mtu ambaye hawezi kutorolate sababu yeyote kuvunja urafiki na kuzusha ugomvi!Afu anakimbilia kwenye blog yake,ameitumia kama silaha ya kuwaumiza wabaya wake,ndio ni yake,ana haju ya kuandika lolote ila its too much!yani kila mtakayekwazana naye umuweke kwenye blog yako?angejua wale fans wana enjoy tu
That's it!Sie wanawake kwa kawaida ni wagomvi,hata mie mtata,ila simfikii Mange hata asilimia zero!Yeye ni mtu ambaye hawezi kutorolate sababu yeyote kuvunja urafiki na kuzusha ugomvi!Afu anakimbilia kwenye blog yake,ameitumia kama silaha ya kuwaumiza wabaya wake,ndio ni yake,ana haju ya kuandika lolote ila its too much!yani kila mtakayekwazana naye umuweke kwenye blog yako?angejua wale fans wana enjoy tu
Sisi wanawake kukosana ni jadi lakin kwa idadi ya Mange ni kiboko mim nishakosana na watu wawili na nishaepuka kua na makund ya marafiki tukikutana tunasalimiana kila mtu kivyakee
Jaman tuepukane ugomvi hua ni kama mikosi hiviii na kuepuka ni kua kivyako vyako kua na rafik mmoja na usimuelezee mambo yako ya ndanii,,,wengine marafiki wawe wa mbali wa kuchat whatsapp basi
Ila hawa kina mange na hao wenzie wote vichaa tu ,hawaishi kuchokozanaa sijui kuna siri ipi kati yaooo
Hhhhhhhaaa ulichambwa we na matola,,,na huyo huyo ndie alietuchamba mie na geniveros nilicheka sana itabidi usome post za nyuma kidogo