Yeye na mbutananga anayemsema hawana tofauti inabidi wamnyang'anye leseni yake ya udereva.Amenichosha huyo Mange.. mara ya kwanza sijaweza kusoma gazeti naona ni non sense tu.... utatukana kila mtu anaekuchukia utaweza...
Ujinga mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye na mbutananga anayemsema hawana tofauti inabidi wamnyang'anye leseni yake ya udereva.Amenichosha huyo Mange.. mara ya kwanza sijaweza kusoma gazeti naona ni non sense tu.... utatukana kila mtu anaekuchukia utaweza...
Ujinga mtupu.
Yeye na mbutananga anayemsema hawana tofauti inabidi wamnyang'anye leseni yake ya udereva.
Mataahira wote watatu..
Mataahira wote watatu..
Nyie watoto mfanyeni mama yenu vizuri ngenye zikipungua ataacha ungese wa kutukana watu asiowajua IG .duuuu!
Yani roho imeniuma Mange alivyomtukana yule mama, halafu kwenye liblog lake anajicommentia mwenyewe....
Ataishia pabaya kama baba yake........hajifunzi
Kuna mwisho mbaya sana soon kwa yule muke ya muzungu kwa jinsi alivyowadhalilisha na kuwasononesha watu wengi kiasi hicho.iko siku atajutia kila sentesi aliyoandika mtandaoni.And yes wale mashabiki wake "anonymous"watakua wa kwanza kumcheka.
Kama sio roho mbaya ni nini?yeye angekazana na huyo adui wake Linda na Flora!sasa kila alotag anashambuliwa!!Nambie kumu involve mume wa mwenzio,watoto na mali zake na maisha yake yoteee uyatoe kasoro kisa alilike!roho mbaya tu hao anaowaita vizee vya ig wamemshinda kila eneo la maisha!Anasema wenzie wakisali na kutoa sadaka mashetani!je yeye alojifanya kwenda kwa orphans na anachofanya saa izi kina husu!!Mungu sio wake peke yake wala sio wa kuingizwa kwenye ujinga wake!!Yaani Kweli mdau hv ikitokea maisha yakamkalia vibaya anafanyaje? Na kwanini hawadhalilishe wanawake wenzie vile? Nimeanza kuwachukia wadada wa pisces nina wifi yangu nae ni pisces Ana roho mbaya ila sio vizuri kugeneralize watu ila huyu dada ni funga Kazi!!
Naomba niulize,huyo Viola alimtusi mtoto wa Mange?alimtusi mume wa Mange?Mbona kumchamba mwenzie kuwa malaya wa Jollie anlalwa na watoto wake??Mange una roho mbayaaaa!!Una wivuuuu!Unamsema hadi mume wa mwenzio alikuwepo IG!mbona katika post zote za viola hajaonyesha wapi alimtaja mtoto au mume wa Mange!!Jamani next ni mrs King Kong ndo nani?sijui miiiie!
Yani roho imeniuma Mange alivyomtukana yule mama, halafu kwenye liblog lake anajicommentia mwenyewe....
Ataishia pabaya kama baba yake........hajifunzi
Hiyo picha ya nyumbani kwake iko wapi manake bidada hapigi picha kwake hata siku moja..na akipiga yani anahakikisha haoneshi mandhari yote
Yani roho imeniuma Mange alivyomtukana yule mama, halafu kwenye liblog lake anajicommentia mwenyewe....
Ataishia pabaya kama baba yake........hajifunzi