Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Is your ID a really one, Ms. Lincon?

Its Lincoln dear zels,nikuulize wewe ulomwambia Dinazarde aache unafiki atumie I'd halisi,mimi hii ni fake au unataka kunijua ukanandikie gazeti!!Npo europe but I don't have to brag!!
 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe kukaa huko ulaya ndio unaona diiili???embu tutolee uzumbukuku.....

Really, unayasema toka moyoni au kufurahisha baraza?
And why mnaona big issue Linda akirudishwa bongo km Ulaya hakuna issue mana yy ni mkimbizi, si angejivunia utanzania wake srudi zake bongo
 
Its Lincoln dear zels,nikuulize wewe ulomwambia Dinazarde aache unafiki atumie I'd halisi,mimi hii ni fake au unataka kunijua ukanandikie gazeti!!Npo europe but I don't have to brag!!

I see! Europe hakuna issues as your friend said, why usirudi bongo uungane vizuri na great thinker my .....
 
Last edited by a moderator:
Namjuwa vizuri Mange, si ndio huyu mtoto wa Mzee Kimambi aliyepigwa mtungo wa samvu la kopo na kurekodiwa?
mlipigwa miti wote wawilieeeh aaahaaaa kwakua wewe ni mchezo wako ukaona pouwa tu mpaka leo upo unaendeleza hako kamchezo poor gay looh
 
Really, unayasema toka moyoni au kufurahisha baraza?
And why mnaona big issue Linda akirudishwa bongo km Ulaya hakuna issue mana yy ni mkimbizi, si angejivunia utanzania wake srudi zake bongo


Huyo Linda akirudishwa wewe na huyo ---- mwenzio mnapata nini???km sio wachawi nyie??...
 
Its Lincoln dear zels,nikuulize wewe ulomwambia Dinazarde aache unafiki atumie I'd halisi,mimi hii ni fake au unataka kunijua ukanandikie gazeti!!Npo europe but I don't have to brag!!

Mi nipo Us, nakula bataaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Ww umesafisha yako, ume brush meno, umeoga?

Mana unalinda thread yenu ya kuchafua watu, muda utaupata wapi, lol
Mange anajichafua mwenyewe kwa matusi na fedheha anazojitwika!!Haya nakuuliza Mange anaoga saa ngapi kwa magazeti anayoandika katika ile blog?alafu ujue kazi sio kukaa ofisini peke yake Mange knows better!
 
Zumbukuku sana huyo,anadhani kukaa ulaya deal kubwa!bwaha ha ha!she sounds like a psycho

Really, just be honest to yourself. Ikitokea mtu anakupa chance ua kukupekeka America utakataa. Si ww ukukuwa unaomba visa ikanyimwa, leo umekuwa sizitaki mbichi hizi, lol
 
Ww umesafisha yako, ume brush meno, umeoga?

Mana unalinda thread yenu ya kuchafua watu, muda utaupata wapi, lol

Kamsaidie Mange basi awe msafi loo huo muda wa kuandika magazeti hata keanu anashinda njaa hhhhhaaaaa
 
Mi nipo Us, nakula bataaaaaaaaaaaaaaaaaa
Baelezeeee!!alafu tabia ya kujisifu unakaa Europe akati nduguzo wapo nanjilinji wanakula ugali wa muhogo na chumvi sio sawa kabisa ni ulimbukeni mkubwa!!unauliza kazi hatufanyi,atleast sie kuliko kuosha vibabu na kujisifu upo europe kumbe unatega mingo uopoe jibabu la kirusi!
 
mlipigwa miti wote wawilieeeh aaahaaaa kwakua wewe ni mchezo wako ukaona pouwa tu mpaka leo upo unaendeleza hako kamchezo poor gay looh

Heeee Siera kumbe ndio huyo zels???makuuuu bwa
 
Really, just be honest to yourself. Ikitokea mtu anakupa chance ua kukupekeka America utakataa. Si ww ukukuwa unaomba visa ikanyimwa, leo umekuwa sizitaki mbichi hizi, lol

Rudi wewe au tukuchangie nauliii,,,,,mnaishia kuzunguka tu hukooo Uk msalimie mbutananga
 
Mi nipo Us, nakula bataaaaaaaaaaaaaaaaaa

Hahaha, mbona unajichanganya na maneno yako, umesema ulaya hakuna issues mana kibongobongo hata US ni Ulaya. So why are telling me upo Us?
 
Really, just be honest to yourself. Ikitokea mtu anakupa chance ua kukupekeka America utakataa. Si ww ukukuwa unaomba visa ikanyimwa, leo umekuwa sizitaki mbichi hizi, lol
Niliomba visa nikanyimwa!?mimi au wanifananisha,unapafahamu Burmingham?!ulaya haupo peke yako!!
Ikitokea chance anyone should grab ila isiwe ya kujitegesha kama somo la bibi yenu!
 
Rudi wewe au tukuchangie nauliii,,,,,mnaishia kuzunguka tu hukooo Uk msalimie mbutananga

Hela ya kula hadi ufanye cleaning, hujarudi kwenu mwaka wa kumi hadi ndg zako walidhani umekufa. Ukabakia na umaarufu wa jamii forum
 
Hahaha, mbona unajichanganya na maneno yako, umesema ulaya hakuna issues mana kibongobongo hata US ni Ulaya. So why are telling me upo Us?

Hata Us ni ulaya,yeah right....mnh hii kibiongo biongo...ni ya kwako mkuu...usitufanye mazumbukuku hivyo....mnh
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…