Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.

nimepitwa naomba hiyo id ya mbutananga huko insta pls
 
Bwaha ha ha!Jamani leo kuna gazeti jipya!!Mange u r pathetic!Very predictable!Unamwambia mwenzio analarwa na mmewe gorila kisa kasema mzungu hana swagg!!Realy wewe huyo mmeo sio nguruwe kabisaaa!!Mtt wa mwenzio wa kiume unasema shoga analarwa na baba yake mzazi nadhani nawewe ulilalwa na... Jamani!!ukiishiwa vya kuchamba unatukana upuuzi tuuu!!Huyo bhoke kuambiwa kasimamia ndo katukanwa!!haaaa!!Mchepuko wa Alb umevuta bhange mbichiiii!@Dinazarde!
 
ugh, everything happens for a
reason.....I'm sure there's a reason why I met
while we were both married......lol.... And
there's a reason why that last day we Saw each
other we has the best sex we ever had..... Like
nimefika Miami tu nkakuta ****, that was the
best sex of my life. Hehehehhe .... It was the
best for me too..... There's a reason maybe so
we can have something to remember each
other by.... Lol....
Ila that dude. I will never speak to again......
Sio utani. Chief kaniumiza mnoooo.
Nimemchukia balaaaaaa.. Dinazarde njoo ucheke!!
 
Last edited by a moderator:
Na yeye Mwenyewe gorila maana baba yake na mama yake wote ni weusi kwa hiyo mange naye gorila. Mbwa huyu anaabudu sana wazungu kiukweli ameishiwa swaga za kutukana kabaki kurudia rudia matusi yale yale kila page from ya Linda, Mbutananga, Viola na mwanamkekujiamini.
 
Reactions: Mit

Hana jipya,ni sawa na teja matusi yake yaleyale!Mbwa,malaya,huna lolote,mbaya,gorilla,una wivu n.K!Mbona yeye anagawa nyuma,anachepuka n.k anapata wapi ujasiri wa kuita wenzie malaya!!Oooh nasahau she is a mental case!!sasa mme wa mwenzie na wakwe wa wenzie inahuuu!!anataka awaumize kama yeye alivo na uchungu moyoni mwake!!dawa ya uchungu ni toba hamna lingine!!Anadai waume zao watawavunja miguu!!thubutuuuuu dua la kuku!Nani atamani lile zungu!ptuuuuu
 
Iko siku atajutia upuuzi wake na maandishi yoote aliyotundika.na wale ngedere wanaomsifia pale hawatakuwepo
 

Mara nyingi watu wanaochepuka akipata nafasi mmoja tu ya kutoka wanapagawaa inawezekana jamaa alimmpa Show ya kawaida tu Labda na mulaah wa kutosha hahahahahahahaha
 
Wale nao wajinga kwasababu na wao ni gorila na wanashabikia ugorila.
 
Umeona eeeh, anafikiri kuweka contact za waume za watu ni kuwakomoa yeleuwii akutanane na mume kama wangu full jeuri na hana time ya maujinga atamdharauje sasa.
 
Umeona eeeh, anafikiri kuweka contact za waume za watu ni kuwakomoa yeleuwii akutanane na mume kama wangu full jeuri na hana time ya maujinga atamdharauje sasa.
 
Ila Mange ana tatizo akilini, ,,,yaan hapo anajiongezea maadui kibao ,,,Mungu amjaalie abadilike
 
Hivi Vodacom bado wanasponsor haya matusi mpaka leo?
I think so,ndo mana yuko busy kuupdate matusi ili apate visitor wengi.by the way post anazoweka nyingi zinamuweka hatarini.na wale wanamshabikia azidikutukana sidhani km wamesoma mpk darasa la pili.
 
yule anaemtukana leo jamani ni mtu wangu wa karibu sana dah yani siamini
 
Reactions: Mit
Huyo wa leo wala hakutukana tusi!alikuwa anaandika ndio against Mange ila yeye anaita kutukana!!
 
Yani mange jamani! Lol! Anakutukania mume, watoto, marafiki, baba mkwe, gari, chupa ya chai, masofa hadi chama chako! !!!! Ni mtu wa aina gani huyu? Mi nimeshangaa jamani lol!! Lazima ana matatizo sehemu huyu
 
Yani mange jamani! Lol! Anakutukania mume, watoto, marafiki, baba mkwe, gari, chupa ya chai, masofa hadi chama chako! !!!! Ni mtu wa aina gani huyu? Mi nimeshangaa jamani lol!! Lazima ana matatizo sehemu huyu

yani anataka kila mtu amsifie makubwaaa
 
Yani mange jamani! Lol! Anakutukania mume, watoto, marafiki, baba mkwe, gari, chupa ya chai, masofa hadi chama chako! !!!! Ni mtu wa aina gani huyu? Mi nimeshangaa jamani lol!! Lazima ana matatizo sehemu huyu

hahahaha et chupa ya chai ya pink ya kariakoo lol huyo mume wake huyo dada akizipata habari sijui itakuwaje nahisi viola atakua ICU watu watakuwa waoga kujiachia instaa maana anyday unaweza kuchambuliwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…