Simjui Mange ila unemsema sanaaa...umesema anaandika sana vile yuko depressed..I am convinced to think you might also be depressed kutokana na ulivyoeleza sifa za watu walio depressed...gazeti lako refu sana na point zinajirudiarudia.
Mange najua unasomaga hapa,wewe una short kidogo kwenye ubongo ni venye tu sijui jina yake kitalam.ila nikwambie siri moja,wazazi huwekea watoto hazina ya utu uzeeni,mimi leo nikipita sehemu wazazi wangu walifahamika si siri nasikia mema mno mpaka nasema na mimi ntajifunza siku nina familia jinsi ya kuishi na watu si kwa ajili yangu tu bali kwa wanangu na ndugu zangu.i can see how u send your loneliness on the posts,jifunze kuishi na watu.then stop calling wema mdogo coz shes not,and stop calling Zari bi zari coz shes damn hotter than any mother of 3 I know,stop pretending that u soo much love wema.samahani kwa makala wadau
Ila umeandika uzi mrefu pia I hope huna personal grudges nae ni mapenzi yako ulionayo kwa watoto, I hope ni hivyo..... Ila point unayo
Ila umeandika uzi mrefu pia I hope huna personal grudges nae ni mapenzi yako ulionayo kwa watoto, I hope ni hivyo..... Ila point unayo
Honestly,deep inside i like Mange.
Ana vitu vingi navipenda mfano Mange anachekesha sana na pia anajituma kibiashara.
ILA kadri alivyozidi kugombana na watu ndivyo mapenzi yangu kwake yalivyofifia.
Na alivyosema mpaka saa saba mtoto analia njaa hajamlisha roho iliniuma sana nikakaonea Kakeanu huruma.Kwa kweli ningekua karibu yake halafu aseme vile sikufichi ningempiga vibao hata kama yeye ndo kamzaa huyo Keanu lkn hana mamlaka yakumtesa mtoto bila sababu.
Kwa kweli mie namsapoti mleta mada maana hii kitibwengi tunaiona kabisa amezidisha mipaka haswa kutafuta maugomvi na kutungia kwa kuongeza chumvi ilibwati wachikiwe .
Yeye muuza nguo ameanza na kuonba watu wasinunue bidhaaa au kushona kutoka kwa watanzania wengine mara eti wana pesa hawahitaji pesa ....
Nilikuwa nasoma blog yake sanaaaaa ila nimejikuta siitamanii tena hata masiku yanapita sijachungulia na uvivu wa kusoma magazeti na comments nimo. I guess ndio bye bye
Nani anataka kukaa kusoma mtu anayetafita ugomvi ana mwelekeo yaani kama vile anayeyuka polepole...kwabtulimsoma for years tunaoba tofauti kubwa sababu ya tabia yake. Ya Kiki na mumewe ndio alinisikitiasha sasa ameshindwa kumshusha akatafuta Diamond and co.
Wanawake tupendane wivu mbaya jamani wa kutakiana kushushana...duh
dah. Inaonekana unamjua kindaki ndaki huyo mange
Duh!
Hujaongeza vikolezo kweli?
Yaani mtu mmoja anagombana na watu wote hao?
Kuna wagumba ni mahodari wakumjua mwenye mimba hata ya wiki moja.
Je madaktari wenye kuzijua sifa za watu wenye matatizo ya akili nao ni vichaa?
Jibu kimoyomoyo.
Hahaa hamna sijaongeza vikolombwezo.
Tena hapo nina uhakika sio wote.
Eti watu wote hao wanamuonea yeye.
mange leo anaomba aombewe sasa sijui yeye anavyowatukana watoto wa watu sijui haoni kama wanaumia....mungu analipa hapahapa duniani..
Hey friends Sipo poa kihivyo .. Niko kwenye wakati mgumu sana. Only those very close to me ndo wanajua kinachoendelea kwenye maisha yangu kwa sasa Kwa vile situation bado iko very raw I wont share na nyie kwasasa maana nnavyojisikia sasa hivi alafu haters wakianza kushangilia naweza kunywa sumu ..Ila situation ikishapoa kidogo na hali kuwa shwari kidogo ndo nitawaambia mwenyewe humu nini kilitokea. I think hapo hata ntakuwa na kifua cha kumudu haters ila kwa sasa hivi sina nguvu kwa kweli .Kwa vile nimekuwa nikishare na nyinyi the UPS of my life, its only fair that I also share the DOWNS of my life Wakristo na Waislamu wenzangu, hata wale mnaonichukia naomba mniweke mimi na familia yangu kwenye sala zenu .PS: Alafu nahisi kama nipumzike kidogo kublog maana sasa hivi nna stress za kufa mtu, yani Im not happy at all and as you know misery loves company. Sasa nisije wamalizia watu stress zangu humu .lol
DEEP MAWAZUUU maskini kaamua kupumzika kublogua sijui ntapata wapi umbea mzuri kama wa mama bhokenzo tatizo sinta anamuogopa sana zali la mentali