Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Sintah na Zari ni marafiki miaka mingi.

Mie nimemjulia Zari kwa kumuona Sintah anampost kwa blog yake na anakujaga TZ wanauwa wote kwa miaka mingi sasa.

Nakumbuka hata kwenda kum google kumsoma zaidi baada ya maelezo yake.

Wengi wanamshangaa ila how come maisha ya Dai na Zari ayaweke nje nje? y amuogope rafiki yake, je rafiki ndio aache watu wampake.

Kama wewe Zari kakukosea nini hadi useme hayo kuwa Sintah anamuogopa? utapata faida gani akiacha watu mumtukane mtu msiyemjua ambaye ni rafiki yake? kawaibia mabwana? NO. kawatukana NO, wivu YES, roho mbaya YES, etc hii imewajawa wengiiiii

Mange Kimambi na Sinta hawa wote hawana akili kichwani.

Namshukuru Mungu sina stimu kabisa ya kupita kusoma ujinga wao kwenye viblog vyao uchwara.
 
Hamna cha kunogesha wala nini.Kuandika mgazeti kama ule plus muda wakusoma coments zote ili azi approve plus kujibu kwa kuandika micoment mireefu unadhan atatumia dkk 2?.Ukute ka Keanu ka watu kameoza kalio kwa kuunguza na diaper anazokaa nazo muda mrefu bila kubadilishwa poor little prins with a bad mother.
Mange anawapenda wanawe ila moyo wake umetawaliwa na wivu na roho mbaya ndo maana watoto wake wanateseka.
IM sure kuna Bhoke wakirud shule wanaishia kula sandwich coz mamy is busy triying to pull sucessfull women down.

my dia hata mim kuna vitu navipenda lakini linapokuja swala la mwanangu naachaga kila kitu........nakuwa mgumu kuelewa siyo kama namtetea bali naona haiwezekaniki.....ni wamama wachache wenye roho ya ukatili wa namna hiyo kwa watotot wake........ukute muda anaandika gazeti ameshawaweka watoto wake sawa.....huyo keanu kashashiba ....kamelala......ni ngumu kuamini......
 
Yule ana mental case si bure wivu gani huo hataki kuona mwanamke mwenzie kamzidi. Alimsakamsakama Shamimu wa watu wee mpaka kachoka na shamimu hakuwahi kumjibu. Ana matatizo sana Zari mwenyewe hata hajui kama kuna kiumbe kinaitwa Mange kinaexisist. Anakera chefuuuuu.
 
Hajaongeza chumvi tena wengine kawasahau kama yule binti mrembo alikuwa anatangaza itv jackpot bingo nimemsahau jina ameolewa na mzungu yuko marekani nadhani. Yaani al
Duh!

Hujaongeza vikolezo kwqeli?

Yaani mtu mmoja anagombana na watu wote hao?
 
mange leo anaomba aombewe sasa sijui yeye anavyowatukana watoto wa watu sijui haoni kama wanaumia....mungu analipa hapahapa duniani..


Hey friends…… Sipo poa kihivyo….. Niko kwenye wakati mgumu sana. Only those very close to me ndo wanajua kinachoendelea kwenye maisha yangu kwa sasa……Kwa vile situation bado iko very raw I wont share na nyie kwasasa maana nnavyojisikia sasa hivi alafu haters wakianza kushangilia naweza kunywa sumu…..Ila situation ikishapoa kidogo na hali kuwa shwari kidogo ndo nitawaambia mwenyewe humu nini kilitokea. I think hapo hata ntakuwa na kifua cha kumudu haters ila kwa sasa hivi sina nguvu kwa kweli…….Kwa vile nimekuwa nikishare na nyinyi the UPS of my life, its only fair that I also share the DOWNS of my life………Wakristo na Waislamu wenzangu, hata wale mnaonichukia naomba mniweke mimi na familia yangu kwenye sala zenu…….PS: Alafu nahisi kama nipumzike kidogo kublog maana sasa hivi nna stress za kufa mtu, yani Im not happy at all and as you know misery loves company. Sasa nisije wamalizia watu stress zangu humu….lol…

matatizo yameisha as amerusha post ya Daimond baada ya maneno hayo uliyom quote

yaani na kuandika yote haya na walionsalia kumbe yupo anasaka umbeya, nimeon kwa group whatsapp wamemnoti kuwa eeh, nami nikashangaa as nilisoma hayo juu.

DUH HUYU BI MAMA MANGE KWELI KUNA KITU KINAMSUMBUA KICHWANI....
 
Mrembo bilionea! Zarinah the Boss lady!
Kawanyima usingizi! Hako kapare kamekomaa uso hadi miguu kanawivu sana!
Kakiwa kazee katakua kigagula hako!
 
matatizo yameisha as amerusha post ya Daimond baada ya maneno hayo uliyom quote

yaani na kuandika yote haya na walionsalia kumbe yupo anasaka umbeya, nimeon kwa group whatsapp wamemnoti kuwa eeh, nami nikashangaa as nilisoma hayo juu.

DUH HUYU BI MAMA MANGE KWELI KUNA KITU KINAMSUMBUA KICHWANI....

Nahisi aliandika ile post ili kutu divert from this thread.
 
Mrembo bilionea! Zarinah the Boss lady!
Kawanyima usingizi! Hako kapare kamekomaa uso hadi miguu kanawivu sana!
Kakiwa kazee katakua kigagula hako![/QUOTE

Mange anajitia presure za bure.
Atamuwezea wapi Zari.
Zari nikimuangaliaga from head to toe sioni kasoro.Hivi hapa east afrika ni dada gani mrembo kumzidi Zari?Mi nadhani Zari ndo anashika taji la mwanamke mrembo kuliko wote Afrika mashariki na kati.
 
Mange amekomaa na Zari,jana alipost sijui ana stress atapumzika!Naona kakomaa naye bado kah!!Atleast Zari na habari zake zinamwondoa upweke!!
 
Mange amekomaa na Zari,jana alipost sijui ana stress atapumzika!Naona kakomaa naye bado kah!!Atleast Zari na habari zake zinamwondoa upweke!!

Mange angekuwa ni either mdogo wangu ningemshauri afunge mdomo wake kabisa, Baba yake Mzee Kimambi alijiuwa kwa aibu hivi huyu binti anapata wapi gutts za kushambulia watu.

Nadhani ni Mental case.
 
Mange angekuwa ni either mdogo wangu ningemshauri afunge mdomo wake kabisa, Baba yake Mzee Kimambi alijiuwa kwa aibu hivi huyu binti anapata wapi gutts za kushambulia watu.

Nadhani ni Mental case.

Hizo habari mnazipata wapi? nimewavulia kofia
 
Hizo habari mnazipata wapi? nimewavulia kofia

Ukiona watu wanapost udaku hapa sio kwamba wana miujiza fulani ngoja nikusaidie,kama haupo IG kama mzee mimi tembelea sintah.com,u-turn,udaku specially,umbeya mtupu, na kwa kufupisha muda nenda global pubishers!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom