Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Mwenzangu mpaka nimeogopa hapa.Kuna watu wana roho nyepesi jamani!Nijiue kisa Mange?Labda nimuue kwanza yeye.

Ujue anatumia tactic ya kuwaumiza watu wako wa karibu, kiboko yake atapatikana tu asio na cha kupoteza wait and see kwa kinje alijidai kaombwa msamaha .....pabaya kunamwita cheater yule
 
Mwenzangu mpaka nimeogopa hapa.Kuna watu wana roho nyepesi jamani!Nijiue kisa Mange?Labda nimuue kwanza yeye.

nooo usiseme hvyo yaliyoongelewa mule ni mazito na huezi jua ndgu wamereact vipi ktk hilo suala
mi siwezi sema sana kila mtu na uwezo wake wa kupambanua mambo
 
Hutoamini kitakachotokea leo nikithibitishiwa kuna aliyejiuwa kwa ajili ya Mange, Prepare another coffin for ur boss.

Mambo yote hadharani leoleo si tena siku nyingine.

Hivi una muda hata wakutafuts girlfriend, actually boyfriend mana ww ni jike/ dume. Ila unatia aibu wanaume wenzio hivyoo.
kwani hujaenda jandoni
 
kama wako vile my friend!!!!
umeona eeeehhhhh
huyo hapo kushoto ndo bimkubwa wako kafagilie kaburi lake

Hahahaaaaa geniveros navunjika mbavu kila nikikumbuka zile screen shots za vichambo viliyoambatana na hiyo picha!
 
Last edited by a moderator:
mwenye news za huyo mama kama kweli kajiua aweke.mi sidhani nahisi mange mwenyewe kazusha?
 
Katumwa jini kuja kufuata jina la next victim.
 
Ujue anatumia tactic ya kuwaumiza watu wako wa karibu, kiboko yake atapatikana tu asio na cha kupoteza wait and see kwa kinje alijidai kaombwa msamaha .....pabaya kunamwita cheater yule

time will tell na 40yake inafkia
 
Ha ha ha. At least napata pesa sio kushinda JF kupoteza muda. Na hamuoni ht nyinyi hamna tofauti na Mange kusema watu vibaya

Usinifananishe na huyo mentalcase....unadhan mwenye kazi peke yako! Kazi sio lazima kuchambisha vibabu vya kizungu kama manguruwe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…