Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Ata mimi ndio swali Nilikuwa najiuliza kwakuwa hajamleaa bhoke lake kabinti kanaonekana kana busara na upendo manake amelelewaa na Mama Yake wa kambo naamini ata Huyo mama mlezii ni mtu mwenye roho nzuri

mi bhoke siwezi mchukia wala kumnini kale katoto kanaonekana descent sana ujue ila mange anaharibu mtoto yule jamani
 
Halaf hiyo habari kaieneza yeyee et katumiwa news,,,aendeleze kuchamba na maiti jamani si mchambaji mkuuu!
 
mi bhoke siwezi mchukia wala kumnini kale katoto kanaonekana descent sana ujue ila mange anaharibu mtoto yule jamani

Bhoke jaman halaf ana sura ya kinyonge, ,,huyu mtoto akue vyemaa asiwe kama mama yake maana nyoka hazai chura
 
Halaf hiyo habari kaieneza yeyee et katumiwa news,,,aendeleze kuchamba na maiti jamani si mchambaji mkuuu!

km kaeneza yeye ni uongoo anatafuta namna ya kufuta post zile
hyo ndo ntoke vipi yake
ngastukaa anaona kashazidiwaa
 
Uwiiiii huu uzi unakimbia kwa sekunde!Ni shiidah...
Huyo Mange aendekeze tu ujinga wake.Anawasema wenzie wanavaa mashungi ya kinafki,mbona yeye hua anakuja kusomewa dua?Tena ukimuona alivyojitanda na anavyoitikia dua utasema mashaallah mdada wa watu mstaarabu kumbe mshenzi # 1!
 
Natamani kujua ukweli.... zels, lazima turud tz kuzika this might be the work of ur own making shoga
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiiio huu uzi unakimbia kwa sekunde!Ni shiidah...
Huyo Mange aendekeze tu ujinga wake.Anawasema wenzie wanavaa mashungi ya kinafki,mbona yeye hua anakuja kusomewa dua?Tena ukimuona alivyojitanda na anavyoitikia dua utasema mashaallah mdada wa watu mstaarabu kumbe mshenzi # 1!
tena wale sio wanafki kwenye shungi mfano yule mdogo lile shungi ni masaa 24anajivunia dini yake namsifu kwa kweli
mnafki yeye anaejifanya muislamu huku ana ndoa ya bomani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom