Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Omg..for once she cant humble herself and not make this about her. Life has been lost here. Every life has meaning. Omg why she is still talking. Is it just me who see this as a big crime committed. Omg in california if somwbody sue her for violet death she will go to jail for life. It wouldnt matter what violet said..omg huyu mwanamke sitaki kuamini...what is wrong with her. Please dont tell me bado bendera fata upepo wanamsupport with this one...still speechless
yaani we acha yani bado analaumu linda na florahOmg..for once she cant humble herself and not make this about her. Life has been lost here. Every life has meaning. Omg why she is still talking. Is it just me who see this as a big crime committed. Omg in california if somwbody sue her for violet death she will go to jail for life. It wouldnt matter what violet said..omg huyu mwanamke sitaki kuamini...what is wrong with her. Please dont tell me bado bendera fata upepo wanamsupport with this one...still speechless
jela inamuita for the second time inaweza isiwe kwa hili ila lipo jingine atalifanya la kumfia na hao washabiki maandazi tuone km yupo atakesimama upande wakeMumle nyama viola.....mnafiki mkubwa wewe! V naye ni binadamu ana watoto na nduguze....mnakazana eti alimtukana mange tusi gani labda, weka caption! Jana umekuja na shari na cheap matusi sikukutusi leo umekuja moto umeona hamna anayekutusi ukabaki kujichekesha kama insane CEO wenu....na bado mnampa marehem RIP huku mnamchamba marehem na kumtia moyo huyo msagaji wenu....acheni roho mbaya kumtia ujinga huyo mange you are the only friends she has in this universe mwambieni aache hayo mambo
Kama ningekuwa mtu wa kujiua nadhani ningeshajiua tokea JF ianze 2006 maana hakuna jina ambalo sijawahi kuitwa au tusi ambalo sijawahi kutukanwa mpaka.
Bado siamini (1)kama kweli huyo mtu anayedaiwa kufa kafa na (2) kafa/ kajiua kwa sababu ya kutukananwa mtandaoni.
Ingekuwa umeanikwa picha zako na jina lako la kweli na familia yako na kuchambwa na kuchambuliwa kama karanga...hapo ungefananisha.
Ila sio kwa jina lako hilo ambalo natumaini ni feki la humu jf. So unatukaniwa jina na maandishi hawakujui weye nani au?
hana lolote mnafki yule hana cha kujitetea lengo lilimua avunje ndoa hongera zake ameivunja moja kwa moja kwa kuwatenganisha haya alisema mwenye namba ya simu ya yule baba aweke ili amtaftie mchepuko amtaftie na mke kabisa lengo lake limetimiaUnfortunately it is true..if you go to mange website she just said the husband told her Violet just died at Muhimbili....the husband apparently tried to contact Mange to take down the posts but due to the time difference california vs bongo Mange was sleeping and by the time posts were taken down it was too late...rip Viola
mange akiona kazidiwa ndo zake anatafuta wanyonge hakumtukana chochote na video isambazwe km yeye alivyofanyaTunatofautiana moyo siwezi jiuaa ng'oooo, ,nimeumia mange kusababisha kifo cha huyo mama nae video ya baba akifirwa isambaee na afe tu
Yule dada hakuna tusi alilomtukana mangeeee
yule ni laana jamani tuwaambieni waume zetu kuchepuka na condom muhimu si mnaona madhara yake haya?Asiwachukulie watanzania poa....kigagura yulee! Sasa mtu akiamua akuchambe wewe Dinazarde si atachanika maku bureee....
yule hana tusi wala ushuzi ana laana yule ya mama akeViola RIP hakutukana kihivyo u know that i know that mange knows that na bendera upepo knows that...angekuwa amemtukana bhoke tungewekewa hilo tusi. Lile gazeti lote nilichoona ni kwamba alishabikia post za linda na mbuta sana sana alisema sebule ya wakwe ni kama stoo..zaidi ya kusema hivyo sijaona matusi aliyomtukana bhoke...msema kweli mpenzi wa Mungu..watupe hilo tusi alosema viola wa watu...this is just too sad
km mizimu inarudi naomba violeth urudiYaan yeye achambe tu mim bado nahitaj kuishi mno,,,Nae kasema.kwenye msiba ni itakua ni Mange kila mtu,,jaman nimeamini mange ana laana +mikosi juu,,,akatambikeee,,nilisema hapo anajiongezea maadui umeona sasa hatakanyaga bongo huyo
kafagilie kaburi la mama ako mikosi inakufuata tuNikuchekee nakujua, nakuona hayawani
km atafurahi kwa hili😕yule ni mchawiHapo mange kapata bichwa aisee video isambazweee tu na yeye aonje utamu wake Matola please do the needful
wanatukana ila wajue wanachochea motoKi ukweli na mimi imenisikitisha,na inasikitisha hao wapambe wake,wanaendelea kusema Marehamu.watu wana mioyo ya chuki
yule ni mchawii mchawi kabisaaa amemtia kafara ili auze vironya vileHalaf anaziachia comment duu mange utalipaaaa
anachukulia simple mtu ukweli ni ktu kizito tena watu wanaongea facts au na chumvi juuIngekuwa umeanikwa picha zako na jina lako la kweli na familia yako na kuchambwa na kuchambuliwa kama karanga...hapo ungefananisha.
anaskia tu hajui kuchambwa mbaya zaidi wanaongea kila kti wanachokijua juu yako
Ila sio kwa jina lako hilo ambalo natumaini ni feki la humu jf. So unatukaniwa jina na maandishi hawakujui weye nani au?
wewe hebu toka bwana una moyo gani weweeeeee
km umeokotwa vile
unasemaje wewe nani atoke? umejibiwa wewe au ndio mdako?
Yani naumwa roho sana kuhusu
huyu dada. As much as nilikuwa
nna hasira nae ila nimelia
nikifikira kaacha watoto kwa
sababu ambazo hazikuwa na
msingi.
Yani nimekuwa kama mgonjwa
leo .. I feel like ----. Hiki sio
kitu kizuri kuwa associated
nacho. Although sikumuua mimi
ila kila watu watakapoongelea
kifo cha huyu dada jina langu
litakuwa linatajwa .DAH. wale
vichaa wawili nani anawajua
kwanza? Yani hii issue
itaniangua mimi tu utadhani
mimi ndo nilikuwa namtuma
atukane Waliokuwa wanamtag
na kumshawishi atukane wala
hawatotajwa ila mimi tu
VIOLET I HOPE YOU WILL
FORGIVE ME FOR I HAVE
FORGIVEN YOU UNGEJUA
UNGENIPIGIA HATA SIMU YA
KUNIOMBA MSAMAHA KWA
ULICHOKIFANYA KWA MTOTO
WANGU NINGEKUSAMEHE NA
KUTOA ILE POSTI MIMI NI MTU
WA KUOMBA MSAMAHA
NAPOMKOSEA MTU NA HUWA NI
MTU WA KUSAMEHE KWA
HARAKA SANA .SIJUI KUISHI
NA KINYONGO
R.I.P VIOLET NJAU.
Nikuchekee nakujua, ww si juha tuu km Mange na Linda. Ukiambiwa facts unaleta matusi.
Nilikuambia jana mchawi hujua wachawi wenzake.
Huna haja ya kutukana watu km umekunywa maji ya chooni. Ww km unakemea maovu kwa nini usiwakemee wote una base upande mmoja.
jitahdi mkafagilie kaburi la mama mzazi
laana hiyo na bado utaua ht kumi
hahaaaaaaaaaaaaa umeona eehMatola katudanganya au? tunasubiri hivo
huyu dada kweli chizi jamani lllooohhh
eti angeombwa msamaha kwa lipi muuaji mkubwa
Yaani ni Psychopath Mange duh i feel sorry for her Friends yaani Mange ni weka mbali na watoto
Yani naumwa roho sana kuhusu
huyu dada. As much as nilikuwa
nna hasira nae ila nimelia
nikifikira kaacha watoto kwa
sababu ambazo hazikuwa na
msingi.
Yani nimekuwa kama mgonjwa
leo .. I feel like ----. Hiki sio
kitu kizuri kuwa associated
nacho. Although sikumuua mimi
ila kila watu watakapoongelea
kifo cha huyu dada jina langu
litakuwa linatajwa .DAH. wale
vichaa wawili nani anawajua
kwanza? Yani hii issue
itaniangua mimi tu utadhani
mimi ndo nilikuwa namtuma
atukane Waliokuwa wanamtag
na kumshawishi atukane wala
hawatotajwa ila mimi tu
VIOLET I HOPE YOU WILL
FORGIVE ME FOR I HAVE
FORGIVEN YOU UNGEJUA
UNGENIPIGIA HATA SIMU YA
KUNIOMBA MSAMAHA KWA
ULICHOKIFANYA KWA MTOTO
WANGU NINGEKUSAMEHE NA
KUTOA ILE POSTI MIMI NI MTU
WA KUOMBA MSAMAHA
NAPOMKOSEA MTU NA HUWA NI
MTU WA KUSAMEHE KWA
HARAKA SANA .SIJUI KUISHI
NA KINYONGO
R.I.P VIOLET NJAU.