Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.

Mzungu hawezi Show za kupunguza n*****e za kipare Afu Tena hana mapesaaa kama ex wa zari duh ataacha kuwa na Stress yaani Hizo ni Stress toshaa
 
Last edited by a moderator:
Mzungu hawezi Show za kupunguza n*****e za kipare Afu Tena hana mapesaaa kama ex wa zari duh ataacha kuwa na Stress yaani Hizo ni Stress toshaa

Umeona eeh?Nimemmind kishenzi yani.Kazi yake kupitia huku aone tunasema nini halafu aende kusema huko.Kama anajiweza avae kibwebwe tuucheze mziki humuhumu JF.
Na atakufa tu na stress mwaka huu.
 
Umeona eeh?Nimemmind kishenzi yani.Kazi yake kupitia huku aone tunasema nini halafu aende kusema huko.Kama anajiweza avae kibwebwe tuucheze mziki humuhumu JF.
Na atakufa tu na stress mwaka huu.

Yeye si anasema anajisifu kuwa na kifua aje Huku na real ID apate naye mchamboo wake kumbe hana jeuri hiyo hahahahahahahaha!!!
 
Nimeshawaandikia hao vodacom...ukute marehemu alikuwa mteja wao..that is kama kweli amefariki. Im still hoping she is alive...

Bora wapate request nyingi Cyber bullying has to stop mpk sasa naona the only Blogger ambaye hana busara ni MICHUZI tu hawa wengine ni ujinga tu wanafanyaa i can't blv People will go to such an extent kupata views nyingi!!! By bullying watu manake alianza na zari kama haitoshi akaendaaa Kwa Linda na mbutananga na ataaacha Hiyo tabia!!!
 
ukitaka kujua kama mange kapanic, ingia kwa blog yake. Yaani amesahau hadi anacomment kwa anonymous accounts halafu anajbu watu direct kuwa ni yeye.
Kaambiwa sheria anaogopaaaa, ananinyea.nyea tu dadadekiiii.
Nadhani hata pilipili ngabu pia ni yeye kwa jinsi anavyoshindwa kujificha baada ya kuchanganyikiwa.
Anatetemeka hata uamdishi umebadilika. Sipatii picha akija TZ itakuwaje. Kwa usalama abadiki huko huko.
Mange yupo humu na anashinda jf sema hapawezi ndo maana anawajua watu wote.
Chamba kule na sie tunakuchamba huku kama kawa.
Hasikitiki na kifo cha mdada wa watu, sijui mtu gani.
Nadhani sasa ndo watoto wanalala na nnya kabisa maana atashinda huku na hana mdada. Hupati baridi maisha yako
 
Yeye si anasema anajisifu kuwa na kifua aje Huku na real ID apate naye mchamboo wake kumbe hana jeuri hiyo hahahahahahahaha!!!

Na aje dadadeki tutamkomesha hadi akome kujisifu wakati hajawahi kupambana huku na sisi.Akishakuja ndio ataujua mziki wa huku.
Yaani hiyo siku mambo yote yatasimama nilivyo na hasira naye.
 

Haha haaaaa,nimekumiss kweli kichunafk.Umenichekesha eti sasa hivi watoto wanalala na nnya kabisa...uwiiiiii!
Mimi nataka aje huku huyo mpuuzi pikipili anayetaka mti.
 
Last edited by a moderator:
Blog ya mange inazingua sijui ana update nini!Uwiiiiii leo ni mwendo wa popcorn na kurefresh tu. Ms.Lincoln
 
Last edited by a moderator:
Blog ya mange inazingua sijui ana update nini!Uwiiiiii leo ni mwendo wa popcorn na kurefresh tu. Ms.Lincoln

Anaweka mchambo....ningekuwa mimi ningekaa mbali na influence ya mtandao kwa muda
 
Last edited by a moderator:

Khaaaa,kumbe ndio yule basi ni kizabizabina......eeeendiwo upite hapa na ukanichambe huko we mnafiki mmoja,alafu hawa wanawake wanaobeba mabox huko wanamaneno sana sijui wakishavuka boda mashwetani yanawapanda,mxeeew
 

Hahahahah,mamii ake mie punguza hasira,hizi smartfone siku hizi hadi milembe wanagawa bure ndio matokeo yake hayo
 
Last edited by a moderator:

Anajichanganya akipanic comment za insta anaziachia na huku, hehehe kweli kuna watu bora wangebanwa tu wafie huko toka enzi kuliko kuja kusumbua huku downtown duniani
 
Khaaaa,kumbe ndio yule basi ni kizabizabina......eeeendiwo upite hapa na ukanichambe huko we mnafiki mmoja,alafu hawa wanawake wanaobeba mabox huko wanamaneno sana sijui wakishavuka boda mashwetani yanawapanda,mxeeew

Wachangiaji wengi yaani wafuasi wa Mange ni CBE students wamejiweka pamoja kama team.
 
Hahahahah,mamii ake mie punguza hasira,hizi smartfone siku hizi hadi milembe wanagawa bure ndio matokeo yake hayo

Hahahahaaaa subiri tu wakikuchamba na wewe utaujua uchungu wake best.Wanakera hatariiii.Bora ingekuwa umegombana nao ila basi tu mtu anajisikia kuongea upuuzi.
 
Anajichanganya akipanic comment za insta anaziachia na huku, hehehe kweli kuna watu bora wangebanwa tu wafie huko toka enzi kuliko kuja kusumbua huku downtown duniani

Halaf dogy masta ni mange kuna sehemu kakoment kajichanganya looooo nikajua huyu ni.mangee kwelii yaan warumi anapitwajeeee ubuyuuu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…