Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wenye maisha mazuri wana Muda na watu.
Shangaaaaaaaa,,,kuna wengine wanayo ya kawaida tu ila hawana muda na watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye maisha mazuri wana Muda na watu.
Ntu huaga anachambwa kutokana kitu unachofananacho hata kama haupo hivyo,mtukanaji hua hachagui tusi
hii imekua mara kwa mara anasemwa kuwa ni mgonjwa wa akili sasa kuna baadhi ya mambo.anayofanya unaeza dhani ni kweli kama anavopiga picha na.zile chupi kubwa mmh
aliumwa kapona sasa uv
mmh haya bana
Si ndio hivyooo sasaa analenga panapokaribiana na ukweli hiv uliona chumba anapoishi Mange ni pachafujee shagarabagaraaaaaa
Kwa hiyo ni kweli haruhusiwi kuendesha gari Uk,,au mikwara tu ya Mange
unaguna nini?
ha ha ha naguna hayo maneno sa chizi gani ana akili kumzidi mzima
ha ha ha naguna hayo maneno sa chizi gani ana akili kumzidi mzima
Ila bhoke hana raha huyo mtoto sijui kanaumwa sijui baba wa kambo anamkosesha rahaaa,sijui ashajua anavyotukanwa mtandaon kupitia mama yake
hahaaaaaa ni shiida anajiita anti yake bhoke nacheka kufa jamani kkkaaashh
hahaaaaaa ni shiida anajiita anti yake bhoke nacheka kufa jamani kkkaaashh
Ha ha ha kama stoo vile, huo muda na nguvu anazotumia kutukana watu bora angekuwa anapanga panga ndani kwake
ha ha ha mi ananchekesha sana mambo yake ila pia nampenda na anaonekana ana akili kumzidi mama bhoke...
huyu mpare lazma ana kautaahira eti anasema maduka ya flora ni frame ushuzi yeye maduka yake yapoje
naona thread ya mama wa kujipiga dildo inakimbia
Yaan wamefanana kwelii hhhhhhaa
hahaahaaaaaa mchaga na mkurya
dah wanafanana
Si ndio hivyooo sasaa analenga panapokaribiana na ukweli hiv uliona chumba anapoishi Mange ni pachafujee shagarabagaraaaaaa