Sijapaniki sema swali lako linataka kunichimba na me staki elezea..kama umepanik vile
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Seems unajitambua..ubarikiweTo me cha kwanza ni dini
Then mengine inategemea na nani anakuja,sipendi jiwekea high expectations wakati Mungu alonpangia haendani na matarajio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha nidhani wewe ni mtu wa imani huna tamaa na pesa, kumbe Mungu moyoni pesa mfukoni[emoji23] [emoji23] [emoji23]Heheheheh...
Hakuna mwanamke anapendelea mumewe aoe mke mwngine...na mume akiamua kuoa huwezi mzuia..
Kuongeza mke ni ruhusa Mungu alishawapa,nitake nisitake,nipende nisipendw ishakua hvo...
Mm kuolewa mke wa pili labda kwa situation kati ya hzi mbili
Moja,labda umri uende niwe sijaolewa
Pili,kwa sa hvi labda awe lipapaa (awe na HELA)...,otherwise ntazifuta hzo hela na kijana mwenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhenga una akili wewSio lazima kujibu kile unacho ulizwa, ingawa kimsingi hilo swali la chura limekaa kikushoto, lakini ulipaswa kulijibu politely ama kulipuuza.
Hapa hakuna mwenye kuhitaji kuujua undani wako, zaidi ni kujifurahisha na kuona upeo wako wa kufikiri.
Don't panic bhana
Hakyanani we mjanja, maswali flani ali skip kijanja nawe ukaja kivingine japo lengo ni lile lile..[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kwenye kuolewa mke wa pili ndo PESA kipaumbeleHaha nidhani wewe ni mtu wa imani huna tamaa na pesa, kumbe Mungu moyoni pesa mfukoni[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaume tafuteni pesa mapenzi yaliishaga enzi za mababu
Pole[emoji22][emoji22]
kwa nn hutak kuongelea swala la love, umetendwa? tujuze tujfunze kupitia kwako ladySijapaniki sema swali lako linataka kunichimba na me staki elezea..
Elewa hivo hivo ulivoelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Funzo langu litanigharimu kufunga hii account,kitu ambacho sipo tyrikwa nn hutak kuongelea swala la love, umetendwa? tujuze tujfunze kupitia kwako lady
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Haaa Haa....Dada kakana imani yake mbele ya chapaa!witnessj msikilize
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]