Role model wako nani nje Na ndani!?Napenda sana ndizi nyama za nazi (zile ndizi za wachaga)..
Chakula ki-base na nyama iliopikwa vzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Role model wangu kwanza no Prof Mussa Assadi (CAG)Role model wako nani nje Na ndani!?
How do they inspire you
DJ sepetu
Nje jeRole model wangu kwanza no Prof Mussa Assadi (CAG)
Napenda sana wasomi ambao bado wanaisimamia dini yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata wasaa Wa kubadili chochote of the pastRole model wangu kwanza no Prof Mussa Assadi (CAG)
Napenda sana wasomi ambao bado wanaisimamia dini yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningemalizia exams zangu mwaka Jana..Ukipata wasaa Wa kubadili chochote of the past
What will you change
DJ sepetu
Sababu nshazielezea..Mmh vip ulimuacha
DJ sepetu
Kwann ulijiunga jfSababu nshazielezea..
Refer huko nyuma..
Sema ndo hvo I wsh mda urudi nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia ipi inakuchukiza sana kuwahusu binadamuSababu nshazielezea..
Refer huko nyuma..
Sema ndo hvo I wsh mda urudi nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Nliijua JF mwaka huu January hamuezi amini,nlikua sijawahi hata isikiaKwann ulijiunga jf
Uliijuaje
DJ sepetu
Nachukiaaaaaa watu wazima wasiojielewa jamn...Tabia ipi inakuchukiza sana kuwahusu binadamu
DJ sepetu
Ulichoijia ulikipataNliijua JF mwaka huu January hamuezi amini,nlikua sijawahi hata isikia
Nlikua na stress za mahusiano sa my friend akanambia ingia JF uone watu wana worse situation na may be ukiwa open unaweza pata ushauri zaidi kama unaona wa kwangu (huyo my frnd) upo biased.
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't be so serious!! It's not healthlyNachukiaaaaaa watu wazima wasiojielewa jamn...
Na nachukia MIZAHA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ushasema jambaz ndio maana nilikutimua[emoji23] [emoji23]Huyu jamaa ana group la tabia mbaya whatapp, pia wana interview za hivyo(kitimoto), na alinitoa baada ya kukwepa kujitambulisha na kutaka kufanyiwa interview.
Sijutii hataUlichoijia ulikipata
Unajutia kwa namna yeyote kujiunga humu
DJ sepetu
Kuna tofauti ya utani na mizaha..Don't be so serious!! It's not healthly
DJ sepetu
Una ushahidi humu jf Wa waongea huo upupu!Kuna tofauti ya utani na mizaha..
Yan unaweza kuta m'baba wa makamo kabisa anaongea upupu!!! Aisee..
Sent using Jamii Forums mobile app