Mrembo Huyu Kwanini Anakula Mirungi

Mwenye nambari yake ya mkononi jamani anipatie tu. Mi nawahusudu warembo kama hawa. Tafadhalini mwenye nayo anirushieeeee!!
 
Miraa! hicho nikiburudisho cha kawaida saaana. Weka gomba watu wachanje masaa ma3 tu, upande wa pili weka nyagi watu warambe saa1 tu UTAONA TOFAUTI.
 
mie mwenyeweeee aiseee nimependa hiyo biashara anayoitangaza hapo kifuani, kama bado yako yamesimama lakini
 
Naona binti wa kiislam akila zake kitimoto kwa raha zake.
 
Mtumishi, imekuaje tena una mchafua mwenzio? Ndoa tayari imesambaratika, sivyo?

Hahah binti Zuwena Mohamedi huyo akipata haramu kidogo mtumishi.

Naona leo amepewa kichapo kizito kidogo na bwn ake.
 
Justification ya kumpiga imepatikana.
 
Mna mjaji sana maisha yake, kila mtu ana uhuru wa kuishi vile anavyopenda, nyie nyuma ya keyboard mbona maisha yenu yanatia huruma sana lakini hakuna wakuwasemea, kausheni msihukumu kabla hamjahukumiwa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa nini anakula mdudu aka mkuu wa meza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…