Mrembo Irene anayedaiwa kuchepuka na Diamond kumbe ni mwanafunzi

Hahaha! Funny part ni pale Pimp anapojiita meneja. Kaazi kweli kweli.
 
ok KUHUSU MTOTO KUTOMALIZA SHULE NA KUWA BELOW 18- hilo halimuhusu diamond hata kidogo..mtoto aliacha shule zamani na alichukuliwa kama mtoto wa mtaani..je ni watoto wangapi wameacha shule na wapo mtaani au ni huyu tuu anaonekana.Tatizo lipo kwa mtoto na shule(WALIMU WAKE).. je mbona kipindi chote walikua wanamuona mtaani hawakusema lolote mpaka alipotokea kwenye video ya KWETU ndio wanaongea..tafakari hapo.. Huyo mwalimu ni JIPU..alikaa kimya mda wote na cha ajabu anasema anamfahamu huyo mwanafunzi vizuri mpaka mzazi wake,, JE KWA NINI HAKUMFUATILIA KIPINDI CHOTE ALICHOACHA SHULE..hapo nashauri huyu mwalimu MKUU ACHUKULIWE HATUA KALI ZA KISHERIA..ANAFANYA KAZI KWA KUTAFUTA KIKI TUUU..

HAWA WATU WA HAKI ZA WANAWAKE na WATOTO NI WAPUUZI NA WANAFANYA KAZI KWA MIHEMKO TUU- naendelea kusisitiza hili ni kweli ni wapuuzi about 80% hua wanafanya kazi pale wanapoona wataoneka mbele ya jamii na wengi hawataki kuingia vijijini ambako ndio kumejaa ukakasi, hawa hua wanafanya kazi kwa matukio yanayowagusa watu maarufu ili waonekane.. 20% angalau ndio wanafanya kazi kwa dhati.. kifupi ni wapuuzi na wanafanya kazi kibiashara zaidi..wanachukua misaana mingi nje ya nchi na wanachokitoa kwenye jamii ni kiduchu sana na chenye manufaa kwao..vituo vingi vya kulea watoto yatima, haki kwa wanawake na mambo ya jinsia ni MAJIPU MAKUBWA..
 
Hapo mzazi ndo wakulalamikiwa
Na huyo kaka yake nae ni jipu
 
Hivi hapa mzazi ndio kasitisha masomo ya mwanafunzi au mwanafunzi ameacha shule ?, sio kila kitu kutolea mfano magufuli !!
 
Kuna sharia basi hapa bongo ?, nakumbuka mimi kuna msanii mmoja wa Bongofleva aliwahi kufanya kosa Basata wakatangaza wamemfungia, ghafla akaja onekana kwenye stage akicheza kwenye kampeni za ccm, Basata wakakaa kimya kama vile hawakuwa wamemfungia, hapo angekuwa amefanya jambo kama hilo hilo kiongozi wa chadema ungeona mpaka waziri anaacha kazi zake kufuatilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…