Mrembo Kim Nana kuja na strippers club!

Mrembo Kim Nana kuja na strippers club!

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Mrembo matata nchini ambaye ni tajiri na ana connection na mamilionea wengi wa uingereza na marekani, sasa amepanga kuwekeza kwenye strippers club ili watu wapate burudani.

Awali inasemekana kwamba club hiyo itamgharimu takribani bilioni zaidi ya 5 za kitanzia ili kukamilika na iwe na mwonekano wa kuvutia watu wa mataifa mbali mbali.

Akizungumzia namna atawapata mamodels wa hiyo club mpya anasema tayari wapo ni swala la vibali ili akipata go ahead aendelee na uwekezaji.

Pia alisema katika huo uwekezaji anashirikiana na partners wake wengine.

Pichani ni tajiri Kim Nana

Screenshot_20230202-123741.jpg
Screenshot_20230202-124059.jpg
 
Huyo ni malaya na ni mpumbavu kama ulivyo wewe mpumbavu mwenzie. Wajinga wakubwa wote wawili
Hayo ni mawazo yako kama kila mwanamke mwenye hela ni malaya.
Try being positive live your life.
 
Enzi za Makonda zilifungiwa kwa sasa Makonda hayupo acha mambo mazuri yarudi tukasafishe macho,
Maisha yenyewe ndio haya haya.
For sure hayo ndio maendeleo yenyewe sijui kwanini hatutaki kupiga hatua na kuziona hizo club hazifai ilihali waendaji au wateja wapo.
 
Hayo ni mawazo yako kama kila mwanamke mwenye hela ni malaya.
Try being positive live your life.
Wewe ngumbaru acha kupotezea watu muda kwa huo upumbavu mwingi uliojaa kichwani mwako. Huyo ni malaya na tapeli na muongo. Hana utajiri wowote and certainly hana bilioni 5 let alone to invest that amount. Jitahidi kulimit upumbavu wako
 
Back
Top Bottom