Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
- Thread starter
- #21
Wapi amesema ana b 5? Jaribu kuelewa huo uwekezaji wake utacost b 5 haimanishi ana b 5, na hivyo ana watu nyuma yake ambao ndio wataunda partnership rudia kusoma vuzuri na uache mihemko na hasira hazisaidii mkuu personal issues zenu nenda mfwate umwambie mimi nawasilisha tuu.Wewe ngumbaru acha kupotezea watu muda kwa huo upumbavu mwingi uliojaa kichwani mwako. Huyo ni malaya na tapeli na muongo. Hana utajiri wowote and certainly hana bilioni 5 let alone to invest that amount. Jitahidi kulimit upumbavu wako