Wapi amesema ana b 5? Jaribu kuelewa huo uwekezaji wake utacost b 5 haimanishi ana b 5, na hivyo ana watu nyuma yake ambao ndio wataunda partnership rudia kusoma vuzuri na uache mihemko na hasira hazisaidii mkuu personal issues zenu nenda mfwate umwambie mimi nawasilisha tuu.Wewe ngumbaru acha kupotezea watu muda kwa huo upumbavu mwingi uliojaa kichwani mwako. Huyo ni malaya na tapeli na muongo. Hana utajiri wowote and certainly hana bilioni 5 let alone to invest that amount. Jitahidi kulimit upumbavu wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjomba una hasira balaaaaHuyo ni malaya na ni mpumbavu kama ulivyo wewe mpumbavu mwenzie. Wajinga wakubwa wote wawili
Tbway kale kadogo ka East Africa TV au yupi huyo?Tbway aliona mbali sana ila na muhurumia mtoto wao. Haya .............
Siku nyingine usilete taarifa za kipumbavu humu. Muwe mnajadiliana huko huko kijiweni na wapumbavu wenzakoWapi amesema ana b 5? Jaribu kuelewa huo uwekezaji wake utacost b 5 haimanishi ana b 5, na hivyo ana watu nyuma yake ambao ndio wataunda partnership rudia kusoma vuzuri na uache mihemko na hasira hazisaidii mkuu personal issues zenu nenda mfwate umwambie mimi nawasilisha tuu.
Huwa sipendi upumbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjomba una hasira balaaaa
Huyo huyo.Tbway kale kadogo ka East Africa TV au yupi huyo?
Ni mjasiriamali anajishughulisha na biashara ya nguo, vipodozi na kilimo cha vanilla na iliki. Pia ni exporter mkubwa wa viungo kwenda nchini china, japan na nchi za uarabuni.Huyu Kim nana anajishughulisha na nini? Tuanzie hapo kwanza kabla yakuenda kwenye utajili wake
Hapana yeye ni muwekezaji akishirikiana na wadau wengine. Pia hao models ni wazoefu wa hizo kazi.Naye atakuwa ni sehemu ya hao models? Au ameshachoka anataka kutumia watoto wa wenzie.
Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣labda hawa wadada wawe wametoka Ughaibuni… sio hawa tandale sinzaS
huoni hapo ajira zitatolewa nyingi au hukuwaza hiloo? zondaawa
Sawa,ipelekwe na dada zako wakastrip tukiwapigapiga makalio
Makovu na vipele vingi🤣🤣🤣🤣labda hawa wadada wawe wametoka Ughaibuni… sio hawa tandale sinza
Eti exporter mkubwa. Kuna majitu mapumbavu sana. Malaya huyo hicho kilimo alikifanyia shambani kwa baba ako?Ni mjasiriamali anajishughulisha na biashara ya nguo, vipodozi na kilimo cha vanilla na iliki. Pia ni exporter mkubwa wa viungo kwenda nchini china, japan na nchi za uarabuni.
Hivi huwa wana shida gani? Yan kuna mwanamke unaweza kumuangalia ukaishia kutapikaMakovu na vipele vingi
Duuh kama utani dogo katusua siku hizi kapata jiko lenye pesa bilions au ni Mario chawa chawa?Huyo huyo.
Ila watu mnazo guts. Unaanzaje kumtukana mtu humjui na wala humuonI? Duh….Huyo ni malaya na ni mpumbavu kama ulivyo wewe mpumbavu mwenzie. Wajinga wakubwa wote wawili
Una uhakika simjui? Usipende kuassume vitu usivyovijuaIla watu mnazo guts. Unaanzaje kumtukana mtu humjui na wala humuonI? Duh….