Mrembo kutoka Oysterbay aliye kamata moyo wa gwiji la Muziki Tanzania na kuwa famous Tanzania nzima

Mrembo kutoka Oysterbay aliye kamata moyo wa gwiji la Muziki Tanzania na kuwa famous Tanzania nzima

Wingawinga

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
623
Reaction score
1,531
Wengi wenu mnatambua nyimbo ya Jabari la Muziki Tanzania Marijan Rajab na nyumbo yake maarufu inayo julikana kama "Georgina " huku wengi mkiwa hamjui story ya nyimbo hiyo kwamba ni ya kweli , Georgina ni nani na kwanini nyimbo hiyo ili tungwa na jabari huyo wa Muziki.

Georgina alikuamtoto wa kishua , Pisi kali iliyo ishi ndani ya Oysterbay ambayo wazazi wake walikua wanajulikana ( Nimesahau jina la kwanza la huyu mze sijui ni Philip or Philip alikua mtoto wake , sikumbuki vizuri) ila Mzee huyo alikuwa anaitwa Mr Mahiga ( kaka ya yule Balozi Mahiga) na mkewe Mama Consolata Mahiga ,alikua mama mmoja Mrembo sana alikua ni mix wa Kiiringa na Kijerumani , mama alikua Mrembo Obay nzima ambaye baadae alikuaja kuwa naibu Meya wa Msasani sijui Kinondoni .Kwa wale mlio ulizia Pisi kali za Obay , basi hii familia watoto wote walikua pisi kali kinoma

Mrembo Georigina ( sijui story kw aundani kuna naye jua ataileta hapa) alikutana na jabari huyo w Muziki , wakapendana na waka wapendi na kupelekea Ms Georgina kupata uja uzito, kitendo ambacho kilikua si kawaida kwa jamilia ya Mahiga ambayo ni strictly Roman Catholic na Marijani alikua Msanii ( kama tujuavyo wasanii walionekana wahuni , hakuna mzee yoyote angekubali mwanae aolewa na Msanii, hata mimi nisinge kubali ), hivyo kulepekea mrembo huyo kutenganishwa na Mpenziwake Mr Rajaba kwa ku hamishwa toka Dar nakupelekwa kuishi Iringa , huko alifanikiwa kujifungua mtoto aliye julikana kama Freddy au labda Fredrick.
Hivyo kutokana na kitendohicho kuwa siri , basi wengi wetu hatukujua story kamili ya mrembo huyo na hakujua kama aliye imwba kwnye hiyo nyimbo ni mrembo kutoka Obay .

Nilipata kuthibitisha story hiyo baada ya rafiki yangu Freddy ambaye ni mwanae Georgina kuniambia kwamba anataka kuandika kitabu na baadae film kuhsuu mama yake na Gwisji huyo hivyo hiyo ilikuwa ni uthibitisho wangu kwamba ni kweli georgina ndio aliye imbwa na marehemu Marijan Rajab.

Kwa bahati mbaya Mwanae Freddy alikuja fariki alipo kwenda Iringa miaka kadhaa iliyo pita bila ku tekeleza wazo lake na pia Mrembo Georgina naye akaja fariki miaka kama miwili au mitatu iliyo pita .
Hiyo nindio story kwa ufupi kuhusu mrembo uyo kwa yoyote mwenye story kamili atiririke .

R.I.P.Georgina and Freddy .

 
Wengi wenu mnatambua nyimbo ya Jabari la Muziki Tanzania Marijan Rajab na nyumbo yake maarufu inayo julikana kama "Georgina " huku wengi mkiwa hamjui story ya nyimbo hiyo kwamba ni ya kweli , Georgina ni nani na kwanini nyimbo hiyo ili tungwa na jabari huyo wa Muziki.

Georgina alikuamtoto wa kishua , Pisi kali iliyo ishi ndani ya Oysterbay ambayo wazazi wake walikua wanajulikana ( Nimesahau jina la kwanza la huyu mze sijui ni Philip or Philip alikua mtoto wake , sikumbuki vizuri) ila Mzee huyo alikuwa anaitwa Mr Mahiga ( kaka ya yule Balozi Mahiga) na mkewe Mama Consolata Mahiga ,alikua mama mmoja Mrembo sana alikua ni mix wa Kiiringa na Kijerumani , mama alikua Mrembo Obay nzima ambaye baadae alikuaja kuwa naibu Meya wa Msasani sijui Kinondoni .Kwa wale mlio ulizia Pisi kali za Obay , basi hii familia watoto wote walikua pisi kali kinoma

Mrembo Georigina ( sijui story kw aundani kuna naye jua ataileta hapa) alikutana na jabari huyo w Muziki , wakapendana na waka wapendi na kupelekea Ms Georgina kupata uja uzito, kitendo ambacho kilikua si kawaida kwa jamilia ya Mahiga ambayo ni strictly Roman Catholic na Marijani alikua Msanii ( kama tujuavyo wasanii walionekana wahuni , hakuna mzee yoyote angekubali mwanae aolewa na Msanii, hata mimi nisinge kubali ), hivyo kulepekea mrembo huyo kutenganishwa na Mpenziwake Mr Rajaba kwa ku hamishwa toka Dar nakupelekwa kuishi Iringa , huko alifanikiwa kujifungua mtoto aliye julikana kama Freddy au labda Fredrick.
Hivyo kutokana na kitendohicho kuwa siri , basi wengi wetu hatukujua story kamili ya mrembo huyo na hakujua kama aliye imwba kwnye hiyo nyimbo ni mrembo kutoka Obay .

Nilipata kuthibitisha story hiyo baada ya rafiki yangu Freddy ambaye ni mwanae Georgina kuniambia kwamba anataka kuandika kitabu na baadae film kuhsuu mama yake na Gwisji huyo hivyo hiyo ilikuwa ni uthibitisho wangu kwamba ni kweli georgina ndio aliye imbwa na marehemu Marijan Rajab.

Kwa bahati mbaya Mwanae Freddy alikuja fariki alipo kwenda Iringa miaka kadhaa iliyo pita bila ku tekeleza wazo lake na pia Mrembo Georgina naye akaja fariki miaka kama miwili au mitatu iliyo pita .
Hiyo nindio story kwa ufupi kuhusu mrembo uyo kwa yoyote mwenye story kamili atiririke .

R.I.P.Georgina and Freddy .


Nikajua dada yetu wa Korogwe na Chibu
 
Nachofahamu mimi. Yote yako sawa kasoro sehemu moja. Muhusika hakuwa marijani rajab, ila ni rafiki yake Marijani. So, MR alichukua kisa hicho na kuweka wimbo.
Ok, inawezekana, ila niliongea na Freddy mwenyewe ( Mototo wa Marehemu Georgina) akaniambia baba yake nI Marijani na uhakika alisema hivyo sababu nilimwambia kabisa, hiyo story niliisikia na nilikua sijui kama ina ukweli na tukaongelea kushirikishwa ndugu wa Marijani wakiwa kama ndugu zake yeye Freddy , So hiyo story ya kwamba ni rafiki wa Marijani ndio alye kuwa na mahusiano a georgina sioni kama ina ukweli . Kipindi hicho mtoto wa Kishua kutoka na msanii ilikua jambo la kujishusha sana na kama aibu kwa familia tena kupata uja uzito naye , halafu kumbuka Muingiliano wa dini ( hii sinauhakika kama ndio sababu moja wapo) , ilikuwa bado watu wengi sio kawida kwa watu wawiliwa dini tofauti kuja oana, failia hiyo walikua ni wale Roman Catholic walio bobea ,St Peter hapo ndio kama wazee wa kanisa fulani walikua , ingawa familia hiyo hiyo baadhi ya watoto walikuja olewa na kuoa waislamu tena kwa harusi kubwa kabisa, ena harusi zote zilikua zina fanyika hapo nyumbani kwa wzaziwa Bibi harusi, kama vile waislamu wanavyo fanya .
 
Back
Top Bottom