Mrembo Kylie Jenner awa Bilionea mdogo zaidi duniani avunja Record ya Mark Zuckerberg

Ile familia ni devil kingdom kabisa mda wote mapicha ya uchi uchi na baba yao kujibadili jinsia pumbav kabisa

Sent from my using Tapatalk
 
Ile familia ni devil kingdom kabisa mda wote mapicha ya uchi uchi na baba yao kujibadili jinsia pumbav kabisa

Sent from my using Tapatalk
Mnamwabudu sana shetani, maana kila zuri na jema la kwake
 
Yaani nimegundua ukifanya biashara yoyote ambayo wateja wake ni wanawake kwa asilimia kubwa lazima ifanikiwe.
Huyu si ndie aliomba achangiwe ili awe milionea?huyu anatembelea nyota ya dada zake,na hana tofauti na akina Sepetunga,Uwoga,Mangi,Mabito n.k
 
Ukijiuliza whats so special with this family hadi wawe maarufu hivi hata hupati jibu[emoji134]
 
Kujituma kwake ndio kumemfikisha hapo. Maana sio wote wanaozaliwa kwenye familia zenye uwezo na umaarufu wanaweza kufika alipofikia kylie.
Inapendeza sana msichana mdogo kuvunja record za namna hii
 
Mbona mzee

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…