Hahaha mbona kilema!Angejua he he he nahisi angeniweka kilema.......ile kutoka nje ya ndoa ni tamaa tu hakuna kingine
Aiseee. Mbavu zangu swahiba. Daah.Nami nimechelewa lakini najua hakija haribika kitu[emoji5]
Hunishindi mim [emoji7][emoji7]Nimekumiss[emoji17]
So kutoka nje ya mahusiano ni halali?Sikutoka nje ya ndoa bali nje ya mahusiano...
Atuletee Eric2Muosha rungu katika ubora wake na warembo wa jf
Haaaaaa cheka upate chura mpenzi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseee. Mbavu zangu swahiba. Daah.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Dume lijifanyalo jike limelaaniwaMara paaapu mrembo kawa handsome uwiiiii tumekwishaaaa
Usijali dada langu shunie yule mtu alichungulia hapa ila kaondoka mdomo[emoji40][emoji40]Ahsante dada ile msg yako ndio nimeiona muda huu ujue.
Ila hakijaharibika kitu. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui ndugu yenu tangu jana nione yalw mauza uza sikurudi tena kule.Hajui kitu emmyta ujue ya jioni au kama alipita kimya kama wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niko kwa mbele kabisa hapa na pepsi na popcorn[emoji28] [emoji28]Hunishindi mim [emoji7][emoji7]
Shemu angalia mrembo asijekuwa na mzuzu[emoji13]Acha niwahi siti ya mbele
Anaitwa nani et
Serious kiongozi simwelewagi jinsia yake uyu raia, na wengine kibao wanaofake id'shahahah acha uchochezi
Aaah ndo maan hakuelewa basi kumbeHajui kitu emmyta ujue ya jioni au kama alipita kimya kama wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni bora kujiandaa kwa ndoa na sio harusiHahaha mbona kilema!
Siku ya ndoa yako unataka ikumbukwe kwa kipi!?
Bora kujiandaa zaid kwa harus au ndoa!?
Honeymoon yako utamshangaza mumeo kwa kipi atakachokaa hasahau?
DJ sepetu
Haaaaaaa kuna muda nilikutana naye maeneo flani nikampa za uso hakurudi tena.Usijali dada langu shunie yule mtu alichungulia hapa ila kaondoka mdomo[emoji40][emoji40]
Hata mimi na hyo nilienae hatupo kialali so vyote sio halaliSo kutoka nje ya mahusiano ni halali?
Hahaaaaaa hawafai kabisa hawa raia[emoji23] [emoji23] [emoji23] Dume lijifanyalo jike limelaaniwa
Nibakshie na mie ngoj nisugue kisigino kwanzaNiko kwa mbele kabisa hapa na pepsi na popcorn[emoji28] [emoji28]