Mrembo live interview on muosha rungu show

Mrembo live interview on muosha rungu show

Maisha ni siasa bi dada!
Ungekuwa rais wa kwanza mwanamke Tanzania ungewafanyia nn wanawake wenzio kuwakomboa kiuchumi

DJ sepetu
Kwanza ningewezesha kutolewa kwa elimu ya ujasiriamali kwa wanawake nchi nzima then ningewezesha uhamasishaji wa uundaji wa vikundi vya mikopo kwa wanawake nchi nzima halafu ningewapatia mikopo
 
Swali langu halijajibiwa daaah

Sent from my iDevice using Tapatalk
 
Kwanza ningewezesha kutolewa kwa elimu ya ujasiriamali kwa wanawake nchi nzima then ningewezesha uhamasishaji wa uundaji wa vikundi vya mikopo kwa wanawake nchi nzima halafu ningewapatia mikopo
Poa poa!
Hali ngumu ya maisha imekushamiri kipindi hiki cha magufuli! Je ni kweli
Nini kifanyike ili kurahisisha Haya maisha

DJ sepetu
 
Poa poa!
Hali ngumu ya maisha imekushamiri kipindi hiki cha magufuli! Je ni kweli
Nini kifanyike ili kurahisisha Haya maisha

DJ sepetu
Ni kweli hali ngumu .....
Serikali ijitahidi kutoa elimu ya ujasiriamali na pia itoe mikopo kwa vijana ili waweze kua wajasiriamali
 
Back
Top Bottom