Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Yupo anaoga hapa mkuu acha nikamshtue huyu kipenziNimekuuliza swali unachukua dakika nyingi kujibu swali moja!
........Unataaluma gani!
Vipi mapenzi kwako yana nafasi gani Na vipi unahakikisha mpenzi hakuachi
Mbona umejiquote mwenyewe tenaNimekuuliza swali unachukua dakika nyingi kujibu swali moja!
Mrembo naomba kuuliza umejipangaje kuhakiki una shiriki katika kumsaidia mh! Rais kutimiza azima yake ya Tanzania ya viwanda?
We mrembo ulishawahi kupigwa mikofi na huyo six pack wako.?
Wewe unadhani nini kifanyike kuzuia michepuko ambayo madhara yake ni mengi.........
moyo wa MTU kichaka ikitokea akaniacha Wenda akajuta maisha .yake yote.
Wenda asimpate mwanamke anaempenda kama mm, anaemuheshimu kama mm, anaemjari kama mm, anaemuombea mazuri kama mm, anaependa ndugu zake kama mm, ambae hamsariti, msafi, najua kupika mcha mungu. in short najitambua,
chai tiyari mkaribie mezaniBaby Mrembo anapika
Wewe unadhani nini kifanyike kuzuia michepuko ambayo madhara yake ni mengi.
Uliwahi chepuka kwa bahati mbaya?
nilijua mtakua na njaa nikajiongeza. hujui mwanamke ana uwezo wa kufanya vitu vi 5 kwa wakati mmoja??Swali 3:
(3a)kwanini upo slow kujibu maswali?
(3b)Na kwanini hukusema mda mwingine wakati muda huu ulijua utafanya hicho kitu ulichonijibu katika swali 3a.
Yaani kila siku tunayajenga halafu huishi kubomoaSi hivyo lakini nakuja tuyajenge upya bibie.
Hujambo mamie[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Yupo anaoga hapa mkuu acha nikamshtue huyu kipenzi
Sijambo kipenzi naona interview imepoozaHujambo mamie
Acha tu,hadi nimehama mtaa mana sina ninachoelewa humuSijambo kipenzi naona interview imepooza