luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
nilizaliwa mbarara hospital (nchi jiran) natokea kanda ya ziwa ,umri mm ni muhenga elimu ya kawaida-chuo kikuu.Lucky ulizaliwa wapi Na una miaka mingapi?elimu Na kadha Wa kadha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilizaliwa mbarara hospital (nchi jiran) natokea kanda ya ziwa ,umri mm ni muhenga elimu ya kawaida-chuo kikuu.Lucky ulizaliwa wapi Na una miaka mingapi?elimu Na kadha Wa kadha
Kwa uhenga atakosa kweliMbarara-Uganda.
Una mpenzi ama mume!
ahaaa Nina mchumba (super man), gentleman ahaaaMbarara-Uganda.
Una mpenzi ama mume!
Weka pichaahaaa Nina mchumba (super man), gentleman ahaaa
Ahaa kumbe ni dada bas anisamehe lakin mwambie awe na kas basNi dada
Ana six park etahaaa Nina mchumba (super man), gentleman ahaaa
Weka picha
everythingAna six park et
Ndo nini sasa punguza mashauz bas mpendwaeverything
Ni nipo hapa angalia usinisifie sana warembo wengine wakajileta ukabaki na maumivu.everything
yeah ni mwanaume nilietamani kuwa nae tangu nikiwa mdogo sikupenda under 30 boys wakati na mm ni under 30 yaan nilitamani niwe na mwanaume anaenizidi umri, mrefu, msomi, anajari ,mweusi kiasi si unajua ngozi nyeusi mwaume lazima wadada tutoe udenda ! in short he is soooo mwaaaaKwanini ni super man,ana qualities zipi
Ngoja niwaite.
Numbisa
emmyta
Shunie
Ukhuty
Carba
Linamo
Sakayo
MBITIYAZA
Neybright
Etc..
Si hivyo lakini nakuja tuyajenge upya bibie.Yaaani wewe,basi tu