Mrembo mwenye shape zuri sana Tanzania afanyiwa 🙀 ya dunia!

Mrembo mwenye shape zuri sana Tanzania afanyiwa 🙀 ya dunia!

Huyu tulikuwa tunamuangalia wkt ule club asset na kundi lake wakisasambua
Ila huyu mshamba anamuona mpya Hahaha

Ova
Mimi hua nafurahi sana nikiona hawa mastar wanagombania hivi vibibi. Manake wanatupa nafasi sisi kajambanani tunajitafunia vitu vikali vya UDSM, CBE, IFM na viunga vya mitaani kiulaini kabisa bila competition kubwa. Imagine hawa ma star wangepata akili ya kuja mitaani sisi si tungerudi kwa mabeki tatu..?😀
 
Mimi hua nafurahi sana nikiona hawa mastar wanagombania hivi vibibi. Manake wanatupa nafasi sisi kajambanani tunajitafunia vitu vikali vya UDSM, CBE, IFM na viunga vya mitaani kiulaini kabisa bila competition kubwa. Imagine hawa ma star wangepata akili ya kuja mitaani sisi si tungerudi kwa mabeki tatu..?😀
🤣🤣🤣🤣 9.8ms squared Oiiiiiiiii
 
nilianza kumuona mapema,
enzi za mabanda ya sinema,
alikuwa ni rafiki wa wema,
she's so beautiful


au mujini nimechelewa mbona wanamponda wanamuita bibi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23] khaaah
 
nilianza kumuona mapema,
enzi za mabanda ya sinema,
alikuwa ni rafiki wa wema,
she's so beautiful


au mujini nimechelewa mbona wanamponda wanamuita bibi
Alikuwa mbeba poch wa wema, million kumi zilimshinda za kujitoa lupango, bila ya wema angeozea lupango, wema fala siku hizi, wajanja wao wanaenda uturuki ovyoovyo, hata shukurani ya kinafik kwa wema wamekosa.
 
Ko anaenda kulipwa nanii dahhhh bora angemtafuta mmakonde furani miaka 21 huko naliendele kuliko hizi laana
 
Aisee hawa jamaa hawaachi haya mambo yao.
 
Back
Top Bottom