cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Akwende zake kuleee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huddah ndio kasema wewe unabisha nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akwende zake kuleee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huddah ndio kasema wewe unabisha nini
Hii sekta upo vizuri😃😃[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na gari aliporwa aunt, usisahau nawee. Uwiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea mic u mnooo.Hii sekta upo vizuri[emoji2][emoji2]
Miss u pia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea mic u mnooo.
Nipo nipo mie. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Miss u pia.
Nakuonaaa upo vizuri [emoji23][emoji23].
Ila 001 ana balaa sana yule Mjuba[emoji23]Kuwa anatuchamba hajaachwa na 001 ila yeye ndo alimuacha?
Mlongo unanichanganya hapaHuyu nae hana lolote, mbna aliachwa na gari aliporwa na kupewa Dimpoz, msieeeew zake.
Gavana la Mombasa ukonga huko001 hii code imeniacha wakuu fungukeni.
alikuwa Gavana wa Mombasa ,yule anayevaaga macheni na mapete kibao ,ni mtu mzima ila anaoenda kuvaa bling bling001 hii code imeniacha wakuu fungukeni.
Yani kapinduliwa na shoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu nae hana lolote, mbna aliachwa na gari aliporwa na kupewa Dimpoz, msieeeew zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Mlongo wee nae ukae kwa kutulia.Mlongo unanichanganya hapa
Dimpoz mbona wakiume anahongwaje tena?
Siyo dimpoz ndyo aonge wanawake?
Kwel huku mpitimbi inabid nihame kabisa