Mwanadada mrembo aitwae Salma mkazi wa Temeke wakati akihojiwa na Dauda Tv akaulizwa mchezaji gani anampenda wa Simba akasema Kagere na akaongezea Kama alifunga goal dhidi ya Yanga anioe bure bila mahari hata kama nitakuwa mke wa pili cos najua ana mke tayari.