Hakuna ndoa halali bila mahari.Mwanadada mrembo aitwae Salma mkazi wa Temeke wakati akihojiwa na Dauda Tv akaulizwa mchezaji gani anampenda wa Simba akasema Kagere na akaongezea Kama alifunga goal dhidi ya Yanga anioe bure bila mahari hata kama nitakuwa mke wa pili cos najua ana mke tayari.
Dada heri ya mwaka mpyaDaah! [emoji848]
Ahsante sana ndugu na kwako pia. Hatimaye tumefika salama 2020.Dada heri ya mwaka mpya
Hakika na mbinu zipo nyingi sana Dada.Matangazo!
Hapo Kagere mukichwa!
Anaweza kumtafuta hata baada ya match.
Itakuwa ni tangazo kama usemavyo Dada.
Kwani nimesoma Post no #07 nikasema Lol.
Wadada ni balaa.malaya wa Kimboka Bar Buguruni huyo namjua
Daah!! Hatari.Wadada ni balaa.
Nakumbuka kipindi wachezaji wa Senegal walivyokuja TZ kuna malaya alipania eti lazima aliwe na mchezaji, sikumbuki jina maana sio mshabiki wa mchezo, sijui Pogba sijui nani vileeee!
Sasa nikajiuliza hivi atapenya vipi hadi ampate huyo mchezaji ili hali wanakuwa chini ya ulinzi kama wako kambini vile
Asante kwa kunipa location.. Ntamtafuta...malaya wa Kimboka Bar Buguruni huyo namjua
Mama Mchungaji, lini nawewe utanitangazia ofa kama hii namimi nikule mema ya dunia..??Daah!! Hatari.
Uwiii. Baba Mchungaji na uzee huu nadhani mpaka dunia itanishangaa kwa kutoa ahadi kama hizo. 😂😂Mama Mchungaji, lini nawewe utanitangazia ofa kama hii namimi nikule mema ya dunia..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ni matangazo.Mwanadada mrembo aitwae Salma mkazi wa Temeke wakati akihojiwa na Dauda Tv akaulizwa mchezaji gani anampenda wa Simba akasema Kagere na akaongezea Kama alifunga goal dhidi ya Yanga anioe bure bila mahari hata kama nitakuwa mke wa pili cos najua ana mke tayari.
View attachment 1310106