Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Demi ametwaa taji hilo akiwashinda wenzake 92 kutoka mataifa mengine ambapo kwa Tanzania iliwakilishwa na Miss Universe Tanzania, Lilian Ericaah.
Mo Dewji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,huyo wa Tanzania amekuwa wangapi..??
Mtemvu anahusika VP na miss universe?! nimecheka lakini!Kwani sitti mtemvu kaenda? Si kaletewa figisu bila sababu
Mtemvu anahusika VP na miss universe?! nimecheka lakini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii Miss Universe sikuelewi, mbona washiriki kutoka sayari nyingine hawaji?
khaaaa umevurugwa vibaya heeeeeHii Miss Universe sikuelewi, mbona washiriki kutoka sayari nyingine hawaji?
hapa pana ubaguzi sana. nadhani pia ni kuwa weusi wanaoshindana hawaendi na asili yao hutaka kujikoboa ndio maana hawashindi. lupita nyong'o angeweza kushinda kama angeshirikiCha kustaajabisha hata waafrika wanaoshinda taji hili ni ngozi nyeupe
Hahaha miss mwenye miaka 32Kwani sitti mtemvu kaenda? Si kaletewa figisu bila sababu