Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
hizo povu mnipe nkafulie nguo zangu lol....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinitukane sana.. Nataka tu kuongeza baadhi ya misamiati kwenye ubongo wanguMy opinion, u don't like it, kick rocks!
Ila before u kick rocks, excuse you kuniita mwongo, marekani ukiwa na id iliyoisha muda unaajiriwa na nani kwa kazi yenye benefits? Coz dont talk about some stupid under the table jobs msizopata benefits zozote au kufuta mavi ya wazee majumbani kwako aka u Housegirl, a real job na id iliyoisha muda mnapewa na Trump?
Now ukinijibu sahihi na evidence wapi wanatoa kazi na Visa iliyiisha muda na Id zilizo expire, nitajiita mwongo hata mimi mwenyewe,
Kaweka maisha yake public, tusilazimishane kuona sawa.
Now Turn to the left kaendelee na kumkiss a$$ Stella.[emoji1308][emoji1308]
Ya itakuwa.Hiyo hiyo ya Ga, Peachtree city na college park ni zaidi ya 20miles, unless ulikuwa karibu sana kwa 9miles.
Wa Md si wanadai wako makao makuu [emoji23]
Sio ishu lol
Kwani unanijua ili u confirm ni fekero?Usinitukane sana.. Nataka tu kuongeza baadhi ya misamiati kwenye ubongo wangu
...Twende kazi mbona avatar yako nayo unaonekana fekero?
Duh!!!wach kelele nyapu uvundo hiyo!
Dada or kaka! Simfatilii fake thot! Huyu dada alikuwa na blog and yes, nilipenda blog yake UNTIL, nilipoona uongo live nikaiweka blog kushoto,
Tatizo watanzania kama wewe ndo wale wale wapu mba vu mlio radhi kushusha hadhi zenu kwa material things, huna tofauti na huyo stella i rather save my energy!
Wajinga sana wanawake wengine! Halafu siku si nyingi unasikia mjinga ka huyo nandera kawa mbunge, no wonder nchi imeoza
yaan ww nyapu lazima itakuwa imeoza,umekosa soko xx umejaw na hate!Itakuwa ya mkeo au mamaako
kajawa na hate kwny maisha ya watu, malayer wengine bn!Usinitukane sana.. Nataka tu kuongeza baadhi ya misamiati kwenye ubongo wangu
...Twende kazi mbona avatar yako nayo unaonekana fekero?
umefake kila kitu bahat mbay huna soko!Kwani unanijua ili u confirm ni fekero?
Nimekupenda makavu live hahahah,wachaneeeWajinga sana wanawake wengine! Halafu siku si nyingi unasikia mjinga ka huyo nandera kawa mbunge, no wonder nchi imeoza
I miss you.hizo povu mnipe nkafulie nguo zangu lol....
Eish! Fake fake fake fake!
She is sooooo fake! Super fake! Fakest of all!
Nyie mnadhani marekani is about kuamka kwenda gym na kula bata kama anavyofanya??? Muulizeni anafanya kazi gani akiwaambia kazi yake natembea uchi Posta hadi Kibamba.
Huyu anapiga picha hotelini anajidai kwake,?? Huyu anapiga picha kwenye gym za apartments anajidai ni gym ndani kwake??? Aisee bora kuwa maskini na akili kuliko wajinga wengine duniani
Hana tofauti na Rachel Temu, kupenda maisha ya juu at any cost.
kupata karatasi sio ujanja,it could also be a matter of luck,truth be told sacrifice zinazofanya na akina dada kupata karatasi huwezi kuamini, yaani ukitaka kuoa dada mwenye makaratasi,inabidi ujiulize maswali mengi sana sio unakimbilia kuoa,alaafu baadaye unaipata past yake unamkimbia
[emoji7]me too darlingI miss you.
Nyani ngabu anaosha wazeeYou wish!
Yan nmependa huo mswambwandaa
You have been too quiet. What is wrong?[emoji7]me too darling