Mrembo wa kijiji aliandaliwa kwaajili yangu, lakini sikumtafuna.

Mrembo wa kijiji aliandaliwa kwaajili yangu, lakini sikumtafuna.

Vinci Dayot Upamecano

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2020
Posts
524
Reaction score
1,288
Ninayo picha yake na nilitamani niipakie hapa lakini kwa bahati mbaya sikupata idhini yake. Alikuwa na rangi ya Maji ya kunde hivi, Mzuri wa sura (ya duara) na macho makubwa meupe ya mviringo. Nyonyo zake hakuzinyanyua na sidiria ila zilisimama Dede, alikuwa Ana mapaja manene yaliyobeba Msambwanda uliobinuka kimtindo... Nilishangaa kukutana na Mali kama hiyo kule interior.

Ni mtoto wa kijijini Mbei, kata ya Malimbwi Lushoto, Tanga kwa kina Mshana Jr Anachezea kwenye namba 19 hadi 22 hivi, Anaitwa Salima ni mtoto ambaye niliandaliwa na mshkaji wangu (nae ni wa hukohuko kijijini) kwaajili ya kunipokea na kunifanya nijihisi nipo nyumbani pindi nitakapokuwa maeneo ya Lushoto kwaajili ya kufanya mission fulani hivi ya kusaka tonge.

Mtoto alijitahidi kunichangamkia sio siri kwa hizo siku sita nilizokaa Kijijini hapo, alinitembeza maeneo mbalimbali, Aliniandalia chakula, alinisaidia kufua nguo zangu n.k... Alikuwa anatamba kwa mashoga zake anapokuwa na mimi, Na hata wenzake walishafikiri Mwenzao (Salima) tayari amepata mchumba.

Mpaka Sasa bado siamini kama niliondoka bila kumchakata binti yule wa ki'mbugu. Nikipata wasaa nitarudi tena Tanga, Lushoto.
 
Ninayo picha yake na nilitamani niipakie hapa lakini kwa bahati mbaya sikupata idhini yake. Alikuwa na rangi ya Maji ya kunde hivi, Mzuri wa sura (ya duara) na macho makubwa meupe ya mviringo. Nyonyo zake hakuzinyanyua na sidiria ila zilisimama Dede, alikuwa Ana mapaja manene yaliyobeba Msambwanda uliobinuka kimtindo... Nilishangaa kukutana na Mali kama hiyo kule interior.

Ni mtoto wa kijijini Mbei, kata ya Malimbwi Lushoto, Tanga kwa kina Mshana Jr Anachezea kwenye namba 19 hadi 22 hivi, Anaitwa Salima ni mtoto ambaye niliandaliwa na mshkaji wangu (nae ni wa hukohuko kijijini) kwaajili ya kunipokea na kunifanya nijihisi nipo nyumbani pindi nitakapokuwa maeneo ya Lushoto kwaajili ya kufanya mission fulani hivi ya kusaka tonge.

Mtoto alijitahidi kunichangamkia sio siri kwa hizo siku sita nilizokaa Kijijini hapo, alinitembeza maeneo mbalimbali, Aliniandalia chakula, alinisaidia kufua nguo zangu n.k... Alikuwa anatamba kwa mashoga zake anapokuwa na mimi, Na hata wenzake walishafikiri Mwenzao (Salima) tayari amepata mchumba.

Mpaka Sasa bado siamini kama niliondoka bila kumchakata binti yule wa ki'mbugu. Nikipata wasaa nitarudi tena Tanga, Lushoto.
M'mbugu akipata rangi ya chocolate na nywele akazifanyia featuring Msomali anasubiri
 
Stori yako kama ya yule jamaa aliharibikiwa na gari kijijini..

Akaomba msaada alale kwenye nyumba ya mzee fulani hapo kijijinili kesho gari ikipona aendelee na safari.

Alikaribishwa vzr sana.
Muda wa kulala mama akamwambia jamaa nenda chumbani ukalale na BABY.

jamaa akagoma akijua baby ni mtoto akilala nae usiku atamsumbua na kukojoa kitandani afu aonekane yeye ndo kakojoa.akakomaa akalala kwenye mkeka sebleni.

Asubuhi akaamshwa na dem mzuri balaa amejazia.demu akajitambulisha naiitwa BABY we unaitwa nani?? jamaa akajibu naitwa FALA
 
Stori yako kama ya yule jamaa aliharibikiwa na gari kijijini..

Akaomba msaada alale kwenye nyumba ya mzee fulani hapo kijijinili kesho gari ikipona aendelee na safari.

Alikaribishwa vzr sana.
Muda wa kulala mama akamwambia jamaa nenda chumbani ukalale na BABY.

jamaa akagoma akijua baby ni mtoto akilala nae usiku atamsumbua na kukojoa kitandani afu aonekane yeye ndo kakojoa.akakomaa akalala kwenye mkeka sebleni.

Asubuhi akaamshwa na dem mzuri balaa amejazia.demu akajitambulisha naiitwa BABY we unaitwa nani?? jamaa akajibu naitwa FALA
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Stori yako kama ya yule jamaa aliharibikiwa na gari kijijini..

Akaomba msaada alale kwenye nyumba ya mzee fulani hapo kijijinili kesho gari ikipona aendelee na safari.

Alikaribishwa vzr sana.
Muda wa kulala mama akamwambia jamaa nenda chumbani ukalale na BABY.

jamaa akagoma akijua baby ni mtoto akilala nae usiku atamsumbua na kukojoa kitandani afu aonekane yeye ndo kakojoa.akakomaa akalala kwenye mkeka sebleni.

Asubuhi akaamshwa na dem mzuri balaa amejazia.demu akajitambulisha naiitwa BABY we unaitwa nani?? jamaa akajibu naitwa FALA

Nadhani Bwana Fala ndie Chanzo cha wengine kuitwa Fala
 
Stori yako kama ya yule jamaa aliharibikiwa na gari kijijini..

Akaomba msaada alale kwenye nyumba ya mzee fulani hapo kijijinili kesho gari ikipona aendelee na safari.

Alikaribishwa vzr sana.
Muda wa kulala mama akamwambia jamaa nenda chumbani ukalale na BABY.

jamaa akagoma akijua baby ni mtoto akilala nae usiku atamsumbua na kukojoa kitandani afu aonekane yeye ndo kakojoa.akakomaa akalala kwenye mkeka sebleni.

Asubuhi akaamshwa na dem mzuri balaa amejazia.demu akajitambulisha naiitwa BABY we unaitwa nani?? jamaa akajibu naitwa FALA
Hahahaa ila mimi labda sio fala
 
Back
Top Bottom