Mrembo wa Tips lounge aliyenifanya nikaokoka

Mrembo wa Tips lounge aliyenifanya nikaokoka

Lameckjr

Senior Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
133
Reaction score
247
Kama ilivyokawaida yangu wikiend nikiwa bored ilikuwa ni kawaida kabisa kucheki boda boda au uber afu na drop maeneo ya Bata Batani Ilikuwa the same case kuna demu flani nilikuwa namsuburi mageto, na nilikuwa na hamu naye sana lakini sasa alichelewa sana nikaona isiwe case ngoja niende zangu tips (kwa wanangu wa dsm) wanapafahamu vizuri sana, nikachukua boda boda kutokea kimara then soon tu nikawa nimefika zangu Tips lounge hiii Ilikuwa mara yangu ya kwanza na hii ni kwa sababu mshikaji wangu mmja ofisini kwetu alikuwa anapasifia sana.

Nami nikaona wacha nifike basi, Baada ya kutimba eneo niko Mwenyewe tu(jeshi la mtu mmja) basi nikakuta mziki flani bombaa kabisa nikajisemea ewaaah mambo ndo hayo sasa, nikacheki kwanza pande zote isije kuta kuna mtu tunajuana naye yupo eneo la tukio(hiii huwa ni mbinu ya kivita) nikajiridhisha no body around there tunajuana wote ni strange kwangu.

Basi kama kawa nikaagiza zangu hapo Heineken kama tatu( nilishakalilishwa kuwa Heineken ni watu wa juu si unajua tena sisi wasukuma kwa kukariri) basi nikajipigia weweeeeeh nikapata ka vibe hivi afu mziki kwa Mbali mzee wa kazi nacheza nacheza kimtindo ,

Hapo unazungumzia mida kama ya sa tano usiku hivi, nishabugia nyingi tu yaani kibao, sasa mara nikiwa nimetulia zangu nikaona warembo wawili wamekaa zao upande wa kusini mashariki ,nikawa na mshituko flani katika hao wawili kuna mmja nikamuelewa sana ila akili yangu ikaniambia hawa watakuwa wale wale tu (machangu) wanatafuta madanga (maana nilikuwa nimeshawazoea) na ilikuwa tabia yangu kwenda kujichukuria,

Sasa nikajisemea kwa leo napata pisi kali kweli kweli wacha niongeze nyingine (bia) nigain confidence nikamkabiri Vyema, nikafanya then nikasomea gepu maana mwenzake alitoka akabaki mwenyewe nikajisemea ewaaaah nikajisogeza naongea ngeli tupu (si unajua ukilewa tena) nikamwambia my name is shillah( fake name) naye kumbe alikuwa mtabe kwenye kinge akaniambia my is Angel (fake name)

Basi tukapeana mawasiliano kwa kuwa mda ulikuwa umeenda sana nikasema nimuche then tutayajenga kesho nimpe kiasi gani ili anipe mzigo(ilikuwa kawaida Yangu kabisa)

ITAENDELEA
 
Kama ilivyokawaida yangu wikiend nikiwa bored ilikuwa ni kawaida kabisa kucheki boda boda au uber afu na drop maeneo ya Bata Batani Ilikuwa the same case kuna demu flani nilikuwa namsuburi mageto, na nilikuwa na hamu naye sana lakini sasa alichelewa sana nikaona isiwe case ngoja niende zangu tips (kwa wanangu wa dsm) wanapafahamu vizuri sana, nikachukua boda boda kutokea kimara then soon tu nikawa nimefika zangu Tips lounge hiii Ilikuwa mara yangu ya kwanza na hii ni kwa sababu mshikaji wangu mmja ofisini kwetu alikuwa anapasifia sana.

Nami nikaona wacha nifike basi, Baada ya kutimba eneo niko Mwenyewe tu(jeshi la mtu mmja) basi nikakuta mziki flani bombaa kabisa nikajisemea ewaaah mambo ndo hayo sasa, nikacheki kwanza pande zote isije kuta kuna mtu tunajuana naye yupo eneo la tukio(hiii huwa ni mbinu ya kivita) nikajiridhisha no body around there tunajuana wote ni strange kwangu.

Basi kama kawa nikaagiza zangu hapo Heineken kama tatu( nilishakalilishwa kuwa Heineken ni watu wa juu si unajua tena sisi wasukuma kwa kukariri) basi nikajipigia weweeeeeh nikapata ka vibe hivi afu mziki kwa Mbali mzee wa kazi nacheza nacheza kimtindo ,

Hapo unazungumzia mida kama ya sa tano usiku hivi, nishabugia nyingi tu yaani kibao, sasa mara nikiwa nimetulia zangu nikaona warembo wawili wamekaa zao upande wa kusini mashariki ,nikawa na mshituko flani katika hao wawili kuna mmja nikamuelewa sana ila akili yangu ikaniambia hawa watakuwa wale wale tu (machangu) wanatafuta madanga (maana nilikuwa nimeshawazoea) na ilikuwa tabia yangu kwenda kujichukuria,

Sasa nikajisemea kwa leo napata pisi kali kweli kweli wacha niongeze nyingine (bia) nigain confidence nikamkabiri Vyema, nikafanya then nikasomea gepu maana mwenzake alitoka akabaki mwenyewe nikajisemea ewaaaah nikajisogeza naongea ngeli tupu (si unajua ukilewa tena) nikamwambia my name is shillah( fake name) naye kumbe alikuwa mtabe kwenye kinge akaniambia my is Angel (fake name)

Basi tukapeana mawasiliano kwa kuwa mda ulikuwa umeenda sana nikasema nimuche then tutayajenga kesho nimpe kiasi gani ili anipe mzigo(ilikuwa kawaida Yangu kabisa)

ITAENDELEA
mbn kama ilikua ina isha hivi...? 😳😳
 
mkuuuu iendelee kesho na mimi nataka nitimbe tips
 
tenor (2).gif
 
mwishowe utaanza mambo ya kuchangishana umalize story zako za uongo
 
Kama ilivyokawaida yangu wikiend nikiwa bored ilikuwa ni kawaida kabisa kucheki boda boda au uber afu na drop maeneo ya Bata Batani Ilikuwa the same case kuna demu flani nilikuwa namsuburi mageto, na nilikuwa na hamu naye sana lakini sasa alichelewa sana nikaona isiwe case ngoja niende zangu tips (kwa wanangu wa dsm) wanapafahamu vizuri sana, nikachukua boda boda kutokea kimara then soon tu nikawa nimefika zangu Tips lounge hiii Ilikuwa mara yangu ya kwanza na hii ni kwa sababu mshikaji wangu mmja ofisini kwetu alikuwa anapasifia sana.

Nami nikaona wacha nifike basi, Baada ya kutimba eneo niko Mwenyewe tu(jeshi la mtu mmja) basi nikakuta mziki flani bombaa kabisa nikajisemea ewaaah mambo ndo hayo sasa, nikacheki kwanza pande zote isije kuta kuna mtu tunajuana naye yupo eneo la tukio(hiii huwa ni mbinu ya kivita) nikajiridhisha no body around there tunajuana wote ni strange kwangu.

Basi kama kawa nikaagiza zangu hapo Heineken kama tatu( nilishakalilishwa kuwa Heineken ni watu wa juu si unajua tena sisi wasukuma kwa kukariri) basi nikajipigia weweeeeeh nikapata ka vibe hivi afu mziki kwa Mbali mzee wa kazi nacheza nacheza kimtindo ,

Hapo unazungumzia mida kama ya sa tano usiku hivi, nishabugia nyingi tu yaani kibao, sasa mara nikiwa nimetulia zangu nikaona warembo wawili wamekaa zao upande wa kusini mashariki ,nikawa na mshituko flani katika hao wawili kuna mmja nikamuelewa sana ila akili yangu ikaniambia hawa watakuwa wale wale tu (machangu) wanatafuta madanga (maana nilikuwa nimeshawazoea) na ilikuwa tabia yangu kwenda kujichukuria,

Sasa nikajisemea kwa leo napata pisi kali kweli kweli wacha niongeze nyingine (bia) nigain confidence nikamkabiri Vyema, nikafanya then nikasomea gepu maana mwenzake alitoka akabaki mwenyewe nikajisemea ewaaaah nikajisogeza naongea ngeli tupu (si unajua ukilewa tena) nikamwambia my name is shillah( fake name) naye kumbe alikuwa mtabe kwenye kinge akaniambia my is Angel (fake name)

Basi tukapeana mawasiliano kwa kuwa mda ulikuwa umeenda sana nikasema nimuche then tutayajenga kesho nimpe kiasi gani ili anipe mzigo(ilikuwa kawaida Yangu kabisa)

ITAENDELEA
Jumapili, nikaamka zangu na hangover nikaenda zangu kwa mama ntilie jirani na getoni kwangu nikapiga supu cha chapati mbili(sijui ni sheria hii kwa watz) baada ya hapo nikashika simu yangu haraka haraka nikazama whatsap maraaah paaap si niona mtoto kaweka status picha yake aisee binti mrembo kapanda kuu, afu swaga nyingi kinoma, nikascreshot ka picha kake then nikamuomba zingine akanirushia kama tatu ivi mtoto wa moto hatari, nikasema huyu siku mbili nyingi lazima NIMALIZE mchezo (kumbuka mentality yangu wanawake wote waliobaa tena usiku ni malaya ila mimi niliwa nickname jina la wadau) ndo nikaanza kumchokoza tutoke out ( huu ndo ulikuwa mtego wangu tena nitakuambia tutoke out mliman city) basi Angel akagoma akasema kachoka sana kutokana na vibe la jana pale tips (makutano yetu) nikapanda dau kuwa ningempa pesa kutokana na kumpotezea mda ( imagine eti mtu mtoke out akale na kunywa hela zako afu tena umlipe) kifupi huu ulikuwa ni Mtego wa kujua je ni mdau (malaya) au binti fresh ebhana angel akaonyesha msimamo kabisa kuwa akiwa free atanicheki tu hakuna haja ya kumlipa pesa,
Nikashangaa sana kwa mara ya kwanza nikakutana na mwanamke ambaye aligomea hela yangu!!
Hii hali ukimjumlisha na picha za kishua ambazo alikuwa akiweka status mimi nikajikuta naanza kumpa kipaumbele dhidi ya wadau wengine, kadiri siku zilivyozidi kwenda nikataka sasa niache kabisa hii tabia ya kwenda club na bar kuvizia wadau afu nimpe attention angel( ndo nilianza safari ya mateso na maumivu) kweli kila nikimwambia tukutane ikawa ni shida, hii hali ikanifanya nimtoe kabisa katika kundi la wadau nimuone kuwa ni smart girl
Siku zikasonga nikaona isiwe tabu nikatupia swaga yaaani nikamtongoza ,akanigomea akidai tupeane mda kwanza nikaona isiwe tabu,nikajikuta sasa nimeadopt falsafa ya masudi kipanya kuwa Mwanamke mpe hela
Kuna siku nikamwambia nimemis basi aje home akasema hawezi kutoka mpaka atengeneze Nywele na hana hela, nikamuuliza shi ngapi akasema elfu 60 mzee nikatuma then kesho yake akatokeq Tabata hadi kimara kwa bajaj (hata hakiniomba nauli) ebhana nilipomuona nikahisi kuchanganyikiwa mtoto ananukia balaa,
Nikamkaribisha getto, tukabonga stori na stori kuu ilikuwa ni kuhusu wimbo wa alikiba (dodo) maana ndo ulikuwa unatoka,
Basi baada ya hizo stori nikasema wacha nijiongeze nikamsogelea lakini wapi naye akaongeza distance kwa kifupi nothing happened mpaka anaaga kuondoka nikamsindikiza, mpaka wakati nilikuwa tayari nimeshafall in love vibaya mno, yaani stori zilikuwa ni Yeye ,nikaanza kumweka status na Dp ,noma sana yaani
Yaaani kwa alivyoni win kisaikolojia nikaanza kuishi maisha flani hivi ya kumfurahisha, nilikuwa sijui perfume za elfu 50 nikazijua, nilikuwa sipandi ndege ,nikaanza kupanda ndege ili nipige picha niweke status anione then anipe value, na huu ni ushauri ambao nilipewa na jamaa yangu mmja,
Maisha yakasonga na siku zikaendelea mpaka tukaingia kwenye first wave la covid 19 , angel ikawa ni ishu kutoka nadhani wote mnakumbuka kipindi hicho hofu ilitamalaki, ikawa ni kwenye simu na video call tu ,Maisha ambayo yalinifanya niwe namumis sana, lakini kuna jirani yangu akawa anakataa mno kuwa corona haiwezi mzuia kukuona kama kweli anakupenda, maana alikuwa ananipiga mizinga kweli lakini kuonana ni ishu, anadai hawezi ruhusiwa kutoka kwao!!

Je ni Maamuzi gani niliyachukua usikose nafasi ya tatu ya hii stori inayofundisha na kuonya.
 
Back
Top Bottom