Hongerami namkubali MALAIKA
Nakwambia tenaMmmh!
Utoe hiyo avatarMke wangu hujambo Niko hapa nakuwaza 24\7
Mimi nitongozwe na ww utongozwe kweli???Baby inakusumbua nini!hebu njoo ndani unieleze
Nilishaanza kukufikiria nikupe zawadi lkn washakuwahi wajanja kwa avatar zako hizoWanatongoza picha;hivi kuna asiyejua DJ ni me humu!
Wanafanya kusudi!
cc The listHii mada inachembe chembe za uchochezi [emoji20]
Acha watu wale vitamu ukija kushtuka hata mifupa hutapataIna maana una mwanaume mwingine humu!
Nani kasema nachepuka???Umeanza lini kuchepuka