Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
HahahahahaHumu ni kama mtaa flani hivi!!
Pigia mfano umetupwa humu kitaa kutafuta mwandani utamdanda nani!hata kama unafunga nae ndoa smile lako hadi gego litaonekana!
Mimi ningemdanda nanihii hadi angeniona keroooo!
Halafu kama ilivyo mtaani kuna wengine ajili ya tabia au muonekano unasema huyu hata kama ndoa ya mkeka natimuu mbio!
Labda Yesu nikamdandee